Mnaacha kujadili mambo ya msingi mnajadili Rambirambi
Kwani kuna shida gani serikali isijenge nyumba za waathirika huko Bukoba ambao watoto wao wamefaulu kwenda chuo kikuu..
Halafu hela hizo zikatumika kuwapa mikopo watoto wa huko Bukoba..
Kupanga ni kuchagua
Serikali inajua inafanya nini...
KILA NISOMAPO HOTUBA HII, NA HALI YA LIBYA ILIVYO SASA MACHOZI YANANITOKA.
PUMZIKA WA AMANI MKOMBOZI,MZALENDO.
"Kwa jina la Mwenyezi Mungu (Allah), Mungu mpaji, na mwenye rehema....
Kwa miaka takribani 40 ama ilikuwa zaidi sikumbuki. Nachokumbuka ni kuwa nilifanya kila nilichoweza kuwapa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.