Search results

  1. M

    Majanga: Tanzania yaburuzwa Mahakama ya Usuluhishi kwa kuvunja Mkataba wa Mradi uliokuwa ufanyike Bagamoyo

    Kwa wale wanaopenda kusoma hii ni summary ya hiyo project iliyopigwa teke na serikali kwa sababu za mazingira kuwa ungemaliza maji ya mto Wami na wanyama kukosa maji. Serikali ilikuwa iwape title deed ya shamba la RAZABA liliokuwa ni ranch ya Zanzibar kama holding ground ya ngombe walionunuliwa...
  2. M

    Serikali ya awamu ya tano inaongoza kwa uwongo kuliko serikali zote

    Nakumbuka pia msemaji wa Ikulu aliwahi kutoa tamko kuwa Serikali ya China imetoa Dola Bilioni 7 kujenga reli ya kisasa. Hivi iliishia wapi sababu baadae wachina walikanusha
  3. M

    Kwanini CCM na Magufuli wataondoka madarakani 2020

    Wanasema siku CCM inaangushwa watu watashangilia kuliko Tanzania kuchukua kombe la Dunis
  4. M

    Mapokezi ya ndege mpya ya ATCL eneo la Terminal One-JNIA

    Mbona Precisionair ambalo ni shirika la wazawa walinunua ndege 10 mpya lakini hakukuwa na ushangiliaji mkubwa hivi?
  5. M

    Waziri Mkuu avitaka Viwanda vya Sukari kuzalisha Sukari 100% ifikapo 2020

    Waziri mkuu si ndiye alizika mradi mkubwa wa sukari wa Bagamoyo Eco Energy kwa madai watamaliza maji ya wanyama mto Wami
  6. M

    Waziri Mkuu kadanganywa juu ya athari za kuanzisha shamba la Miwa la Bagamoyo

    Nimeshangazwa sana na maelezo ya Waziri Mkuu bungeni kuhusu mradi wa sukari Bagamoyo. Ya kuwa utamaliza maji kwa ajili ya wanyama wa mbuga Saadani. Eneo la mradi lipo kusini mwa mto Wami wakati mbuga inapakana na mto kaskazini. Kiutaalam hoja hii haina mashiko hata kidogo. Tafiti zote na...
  7. M

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anne Kilango Malecela

    Hii habari ya wafanyakazi hewa siyo mpya katika nchi za kiafrika. Ukisoma habari utaona Nigeria walikadiria kuwapo wafanyakazi hewa kama 24,000. Kenya wao mwaka 2014 walilivaa tatizo hili kisayansi zaidi walipofanya biometric registration kwa wafanyakazi wote wa serikali wakagundua wafanyakazi...
  8. M

    Life after Death: What happens after death?

    Has anyone read from one of still living scientists Mr. Stephen Hawking's views on afterlife? You can google and read about him. Here is an extract: Hawking has stated that he is "not religious in the normal sense" and he believes that "the universe is governed by the laws of science. The laws...
  9. M

    Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

    Mradi wa Bagamoyo haukuwa na tija yoyote zaidi ya matakwa ya mtawala asiyeambilika. Priority ya bandari za Tanzania ni:- 1. Dar 2. Tanga 3. Mtwara then zinafuata nyingine Bandari ya Dar haijawa exploied to the maximum na tatizo la kuondoa na kuhifadhi containers lina ufumbuzi ambao haujafanyiwa...
  10. M

    UDART: Tunaleta heshima ya usafiri wa umma Dar es Salaam

    Hakuna haja kuhojiana na wezi wa mali ya umma. Wanataka kuhalalisha ujambazi waliofanya wa kunyakua shirika la umma na kujimilikisha mali zake kifisadi ili waweze kufanyia biashara miundombinu iliyojengwa pia kwa fedha za umma. They are just criminals. Serikali ya awamu ya tano inatakiwa...
  11. M

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Nchi hii haiwezi kubadilika kikweli kweli bila kuondoa huu mfumo wa CCM. Baraza lote la Mawaziri sioni ubunifu wowote. Sana sana watangoja kuambiwa na Magufuli wafanye nini. Hapa ndipo umuhimu wa Katiba mpya unapoonekana. Katika wabunge ni wachache sana wenye sifa za kuwa mawaziri. Wabunge...
  12. M

    Utata jengo la Serikali lililochukuliwa na Azam Kurasini

    Kama tungekuwa na akili kama Nyerere tusingemilikisha biashara ya chakula kwa waarabu na wahindi. Wamefanya monopoly kutokana na ujinga wetu pamoja na kukwepa kodi sasa wapo kwenye list ya mabilionea duniani
  13. M

    Wakati Tanzania tukiwa tunashangilia kusimamishwa maofisa TRA, Kenya wanafanya hivi...

    Wajinga haswa ni wale walioamua kuzungusha mikono na kuropoka mabadilikoooo...Lowassa....Lowassa...mabadilikooo! Hao ndio wajinga wa [I]kupindukia Haiyumkini wewe ni kundi la pili la wachache wanaofaidika na mfumo
  14. M

    Wakati Tanzania tukiwa tunashangilia kusimamishwa maofisa TRA, Kenya wanafanya hivi...

    Mtu asiyeelewa umuhimu wa upinzani aidha hajitambui au ni fisadi anayefaidika na mfumo uliopo. Hapa Tanzania watu wa lawaida wasioelewa maana ya upinzani ni wale wajinga waliotengenezwa na mfumo ambao ni wengi ma wapo zaidi vijijini au mikoa isiyojielewa. Kundi lingine dogo ni lile linalofaidika...
  15. M

    Mwanamkakati wa timu ya kampeni na msaidizi wa Lowassa ni Mkenya

    Wabunge wengi wa CCM wameshinda kwa wizi. Sehemu zilizoamka za mijini na Arusha na Kilimanjaro walithibitiwa hawakuweza kuiba
  16. M

    Boss wa Home Shopping Centre 'apewa shavu' na Tanzania huko China

    Hawa inasemekana wamefadhili kampeni ya chama tawala sehemu kubwa. Pia pesa iliyotumika kuwahonga viongozi wakubwa wa upinzani walioasi wametoa wao
  17. M

    Muundo wa Mfuko wa Barabara ulimbeba Magufuli, Hana Ufanisi wowote

    Kawambwa alikuwa waziri mzuri zaidi ya Magufuli akiwa Miundombinu. Kawambwa pamoja na mawaziri waliomtangulia, Mramba na Chenge walimpa uhuru wa kutenda Mtendaji Mkuu wa TANROADS kutekeleza majukumu yake. Ni kipindi ambacho TANROADS ilishuhudia ufanisi mkubwa kupanga na kutekeleza miradi mingi...
  18. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Huwezi kutenganisha dini na siasa. Ndiyo maana hata Yesu Kristo alipambana na wanasiasa mwishowe wakamsulubisha ile maandiko yatimie na ukombozi wa mwanadamu ukapatikana. Gwajima ni mmoja wa viongozi wachache wa kiimani hapa kwetu anayethubutu pambana na dola hii kandamizi bila woga. Au mmesahau...
  19. M

    Jenerali Ulimwengu, kumbe hata wewe ni mnafiki!

    Ni kweli. Jenerali lazima amsapoti ndugu yake Magufuli hata kama zamani alikuwa mpinzani. That is natural. Wanatoka eneo moja kona ya kaskazini magharibi ya nchi. Wenyeji wengi pale in wahamiaji kutoka Rwanda na Burundi. Lakini wote nia raia halali wa nchi hii Katika dunia ya leo huwezi...
  20. M

    Katiba Mpya: Askofu Kakobe ampelekea Rais Kikwete ujumbe wa wazi kutoka kwa Mungu

    Ndugu zanguni, Kwa mambo yanayoendelea hivi sasa huu utabiri siyo mzaha. Yetu macho na masikio.
Back
Top Bottom