Nimejaribu kufuatilia kwa karibu mambo yanayotokea kufuatia CDM kuamua kuandamana kupinga mwenendo wa BMK nimejikuta ninapata shida kuamini kuwa nchi yetu ina intelijensia iliyo makini. Sidhani kama kuazimia kuandamana ni kosa. Bila shaka ni vibaya kuandamana bila kufuata utaratibu. Nimeshangaa...
MKURUGENZI wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA) wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba ameshinda kesi ya kukutwa na simu gerezani iliyokuwa inamkabili hivi punde katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
Liyumba ameshinda kesi hiyo baada ya upande wa Jamhuri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.