Magufuli aipiga CCM na wafadhili wake bao la mkono.
Imethibitika katika mitandao ya WhatsApp na mengine mengi kwamba wale makada wa CCM na wafadhili wake wanaumizwa sana na kasi ya JPM ya kusimamia rasilimali na mapato ya taifa. Wengi walitegemea hali endelevu ya kutafuna mali za wananchi bila...
January Makamba yupo sahihi aliposema JPM ameifufua CCM. Ilikuwa imekufa.
Ingekuwa utawala tofauti , kila kitu kingeundiwa tume, baada ya wabunge wa vyama fulani kupiga kelele na kushinikiza serikali kuchukua hatua !
JPM kaza buti, wanafiki wengi watakusifia ndani ya chama , lakini ki ukweli...
Waziri wa Uchukuzi Tanzania Dk. Harisson Mwakyembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA Ephrahim Mgawe pamoja na wasaidizi wake wawili.
SOURCE: East Africa TV
Kwa Maelezo zaidi:-
Rais Jakaya Kiwete amemteua rasmi jaji frederick mwita werema kuwa mwanasheria mkuu wa serikali muda mfupi baada ya kuapishwa kwake leo katika uwanja wa uhuru jijini dar.Jaji werema anapata nafasi hiyo kwa mara nyingine kuendelea na wadhifa huo ambao alikuwa nao hapo awali.
KUNA MTU ANAJUA CV...
mambo ya kusema tusubiri (2015) hatutaki, hata Yesu alisema atarudi..lakini mpaka leo bila bila... tudai haki yetu mapema ..sasa hivi....hata kama Dr(Phd) alipata 40% tunazitaka hizo hizo...msiongeze wala kupunguza...na hiyo ndio haki!
usalama ni raia, kama NEC na CCM ! kwanini washugulike na wizi wa Kura? wanaogopa nini upinzani? au hawajiamini na uwezo wao wakufanya kazi? wana uhakika nani atakalia kiti cha CCM baada ya Kikwete ... miaka 10-20 inayokuja? inawezekana Makamba akagombania uraisi.....Kwa nini washifanye kazi...
NEC itabidi wakumbuke kwamba "government of the people, by the people, for the people, shall not perish from the earth."
Nguvu ya UMMA ni shuguli nyengine kabisa.....hakuna mtu anayeombea Tanzania mabaya, lakini kumbukeni bila haki hakuna amani, hata China kusipo na democrasia, angalau sheria...
watu wa kwenye hiyo picha wamerudiwa/wameongezwa kwenye sehemu tofauti za picha...wengine kama walivyo...na wengine ni hao hao lakini picha tofauti (zilizochukuliwa kwa muda tofauti)......
mnaweza kunirekebisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.