Nataka kujua hiki chuo kila mwaka wanafunzi hasa wa education hucheleweshewa hela yao na wanapogoma wanafukuzwa na serikali haisemi kitu.
Je, ni kweli kwamba kuna wakubwa wanahisa zao kwenye chuo hicho?
Ni wiki mbili sasa tangu waziri wa elimu afike pale chuoni lakini wanafunzi hawajarudisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.