The pexie,
Mkuu tatizo la kuwa na makalio makubwa ni sababu kuna fat hakuna kingine. Sasa kuna haya mazoezi ukifanya yatakusaidia
Want to Burn Hip Fat? Try These 10 Exercise Options
Squats. Share on Pinterest. ...
Side lunges. ...
Fire hydrants. ...
Wall sits. ...
Banded walk. ...
Step-ups...
Waambie wasafishe vyoo. Vyoo vingi ni vichafu na havina maji katika mbuga nyingi za Tanzania ijapokuwa hela nyingi zinaingia. Kwa kweli inatia aibu sana.
Ramani za mbugani na alama ndani ya mbuga haziko clear. Watalii wengi hasa wageni wanalalamika juu ya hilo. Hata mwenyewe sijapenda hilo...
https://www.millicom.com/our-company/brands/tigo/
"Our commercial brand Tigo, which derives from the Spanish word "contigo" which means "with you", has been active in Africa and Latin America from the beginning, supporting their digital transformation.
Our purpose is to build the digital...
Ngoja tusome kwanza report ya CAG ndugu yang. Hii ya Bima ni cha mtoto. Nina wasiwasi kama watu watakuwa na imani na jiwe tena. Maana tumedanganywa mengi na matokeo yake tumeyaona. Tumeambiwa ndege zina faida wakati sio kweli.
Lakini mbona kuna wakati Mwanakijiji aliwapa mbinu nzuri sana na rahisi ya kutotumia nguvu, alisema
1. Viongozi na waajiliwa wote walioko ktk Serikali ya Muungano na Mawaziri wajiudhuru nafasi zao na warudi Zanzibar.
2. Wabunge wa Zanzibar wasihudhurie vikao vyovyote vya Bunge kule Dodoma
3...
The Takbīr (تَكْبِير, pronounced [tækˈbiːr]), also transliterated Tekbir or Takbeer, is the Arabic phrase Allāhu akbar (الله أكبر), usually translated as "God is [the] greatest".
Sio Msukuma peke yake, ni wengi sana ...akina Nape, Mwigulu, Mwakyembe, Dr Slaa,.nk
lakini huyu Mzee Lowassa kweli kakoga matusi mengi na ya aibu..Nikifikiria yale matusi ya Nape na Mwigulu... mm sina hamu jamani...
Wakati Lissu anapigwa risasi, huyu Dkt alikuwa Chadema, hivyo basi yeye alikuwa amehusika katika kutekeleza mpango wa kutaka kumuua Lissu. Naye ahusishwe na hao anaowajua walishiriki ktk tendo hilo.
Uko kijijini kwetu wakulima wanasumbuliwa na nyani kwa kula mazao yao. Sasa nyani huyo akisafirishwa njeya nchi anauzwa walau kwa dola . Wizara ya kilimo inaua ndege wanao haribu mazao wakati huo huo msafirishaji akiuza hao ndege nje atapata hela za kigeni. Tuna nyoka wengi ambao wengi wa aina...
Lakini mbona maswali ya Lissu ni machache tu
Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?
-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?
-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?
Kwa nini CCTV camera zilinyofolewa?
Nani aliaamuru zinyofolewe?
Kwa nini wafanyakazi wa nyumbani kwa Lissu...
Lakini mbona maswali ya Lissu ni machache tu
Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?
-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?
-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?
Kwa nini CCTV camera zilinyofolewa?
Nani aliaamuru zinyofolewe?
Kwa nini wafanyakazi wa nyumbani kwa Lissu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.