Habari za muda,
Nasikitika kua mtandao mkubwa kama airtel wanaweza kua na huduma mbovu kama hii. Wiki iliyopita nilipoteza simu iliyokua na line ya airtel ndani,Simu ambayo nilienda hadi kutoa taarifa kituo cha polisi nakupata RB namba.line hiyo iliyopotea nimekua nayo toka mwaka 2007 hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.