Na yule Changudoa wa Shinyanga aliyekuwa anacheza igizo la kuibiwa kwa dawa Zahanati ya Kambarage! Wakuu hawa wa Wilaya ndiyo wale aliyotuambia Roma Mkatoliki kuwa ni "...miradi ya upigaji" Ova
Me napenda tu kujua, kwani hayo mataifa ya nje yanayomkubali Magufuli kwa mujibu wa gazeti la Tazama, watakuja kuipigia kura CCM na huyo Magufuli wao!?
Du ahsante kaka kwa kuliona chili, nilidhani nimeshtukia peke Yang! Wenyewe waache kutumia nguvu kubwa kutupotosha wajikite kutueleza nano aliua viwanda vyetu name watavifufuaje ikiwa mbinu za Maisha bora kwa kila Tanzania, Ari mpya, Nguvu mpya name Kasi mpya zote zimefeli!?
Nimelia Sana Usiku kucha hasa nikiangalia process ya ukamataji hadi upakiaji kwenye ndege roho inaniuma sana! kwahiyo jamaa wameamua kumaliza kila kitu!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.