Hali ya kifedha ya Chama cha ACT-Wazalendo ni taabani, Kaptula La Marx anaweza kuthibitisha. Kwa mjibu wa taarifa kutoka vyanzo vya uhakika ndani ya ACT-Wazalendo akaunti za chama hicho kichanga zina salio la fedha kiasi cha shilingi millioni kumi zikiwa ni ada ya viti maalum pamoja na fedha...
Ndugu wanajamvi kuanzia sasa tutaanza kukichambua chama cha ACT-TANZANIA/WAZALENDO kwa kujadili mambo kadhaa yanayohusiana na chama hicho. Katika mfululizo wa mabandiko yetu pamoja na mambo mengine, duru ya siasa hapa jamvini itaangazia mambo yafuatayo:-
a) Nini maana ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.