EE Bwana Muhogomchungu wee....
hata mimi nimeshangaa nimetuma maoni yangu kuhusu mada ya huyo jamaa alielezea suala la OIC na Mahakama ya kadhi inajaribu kujibu hoja tu na ufafanuzi pale mwanzo ilichapishwa na nikaisoma lakini punde tu iomeondolewa sijui ni kwa makosa au makusudi nahisi harufu...
Bwana Yeshuahamelech.nadhani umenifahamu sana tu .hapa hakuna blackmail wala judgement tupite kwenye point tu.Hapa chadema inakiuka misingi na dhana nzima ya upinzani bungeni na wanajenga utamaduni mpya mbaya na wao itakuwa ndio waanzilishi sioni faida na bora wakaacha misimamo hio ya...
"Endeleeni kufanya utani na amani ya nchi tu iko siku wote tutawajibika"
wale wanaodharau maneno ya masheikh wasigubikwe na udini na kuwasukuma kutoa lugha chafu na dharau mazali tu alietoa mawazo ni sheikh .(Qinin $wostgoods- samahani lkn)
hicho wanacholalamikia masheikh kingetazamwa kwa jicho...
inashangaza kidogo. inaonekana wachangiaji karibu wote ni Chadema oriented hawataki kabisa kujikita katika hoja za msingi. kumbukeni ni hao hao chadema walikuwa ndani ya kambi ya upinzani iliyoongozwa na CUF mmesahau nafasi ya dr slaa kwenye kambi? leo hii. kuna nini hapa ? hoja ya kuwa cuf iko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.