Mechi kama hizi za kimataifa na timu kubwa kubwa pamoja na matokeo ya angalau kutofungwa ndiyo huwafanya Simba kudunduliza mapoint over the years na kuifanya club kuwa Bora Barani Africa na kuwapiku Uto.
Huwa inashangaza kuwaona Uto kuweweseka, si mjitahidi na nyie?
Jitihada hizi huja kwa jasho...
Wanachojua wana-Uto ni kuvamua tu threads za Mnyama anapocheza na kuikosoa wakijifanya ni mashabiki wa Mnyama. Tumesha wang'amua kitambo sana. Hovyo!!!
Watu wa uto kwa kuvamua tuthread za Mnyama hawajambo. Mtu unawexa dhani Hawa wote waokosoa Simba ni mashabiki wa Mnyama kumbe wengi wao ni wa utopolo tu.
Kwanza nawauliza Maccm: Kuna kipengele cha Sheria ya vyama vya siasa au Sheria ya uchaguzi inayowalazimisha wapinzani mikutanoni au sehemu nyingine kuzungumzia sera zao tu na si kukosoa mapungufu ya serikali?
Wanachangamshaje? Unadhani ni kama wa nyie utopolo mnavyojazana kwenye thread ya Simba inapocheza na kazi yenu ni kuitoa makosa kibao huku mkijifanya ni mashabiki wa Simba. Tumesha wajueni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.