very nice argument
yani vitu vyote wanavyo kanusha ndo hufanywa na serikali. sasa sijaona kipya zaid ya kulea ujinga na uzembe kwa wanafunzi...mwenyewe nimesoma shule za mchujo na ninaeperience ya kutosha kuhusu faida ya mchujo sanjari na kukuza ufaulu na juhudi kwa mwanafunz katka kusoma...
Unajua msinifanye niamini kuwa serikali pamoja na jeshi lake kubwa lenye jukumu la kulinda usalama wa raia na mali zao imeshindwa kujua Ben alipo...that's very fearful and terifying. kama kweli imeshindwa kupitia mafunzo yalokubuhu ya kiinterijensia kujua nani anahusika! then we are not safe...
kumbe bora hata tungelipa bombadia kwa awamu...kujinasibu kuwa tumelipa keshi siyo mkopo alizani ni sifa? mmh inabidi afundishwe japo elementary economics akawa na uelewa wa mambo ya uchumi unavyo work....duh 360b si thamani ya zile ndege zote mbili kweli. nachoka miye
Habari wana jamii forum!
Ni matumaini yangu mnaendelea vizuri na majukumu hasa baada ya jana kujua kwamba tuna wahariri wa habari wa aina gani. sipendi nijikite huko na kuzisemea taaluma za watu la hasha! napenda kusemea kile nilicho jaribu kukisoma toka kwa mh. JPM kwa ocasion ya jana katika...
mkuu hapo kuna ukwel wowote kuhusu umri...maana mleta mada anasema jumbe kafa akiwa na umri wa miaka 80 na wewe unasema alizaliwa mwaka1920 ikiwa na maana angekuwa na miaka takribani 96 sasa sijui inaukweli kias gani hapo
Duh mama mdogo umechapia yaani mleta mada huenda kakosea ila wewe ndo umekosa kabisa...tani nne ni sawa na kilo milion nne kweli? tani nne = kilo elfu nne tu. so mleta mada katuacha hoi hae
Hivi kwa nn nchi yangu inkuwa ya vituko kuliko ile ya kusadikika? yani kikiisha hiki kinakuja kile lengo ni nn? au ndo propaganda zenyewe? agh! maajabu sana... sasa hiyo barua aliandika nani mzimu au?
mkuu umeongea kwa uchungu sana..natumaini mheshimiwa anapitapita humu ...ajaribu kuwa na moyo wa huruma kama kashindwa ya Lugumi basi ajaribu ya watumishi japo kurejesha imani kwa wafanyakazi
kwa bahati mbaya kusoma namba hakujabagua aliyechagua na asiye chagua ndo ubaya wenyewe.ila ndo naanza kuamini kwa nn kipindi cha campaign watu tunakuwa wakali kwa wanaoshabikia ujinga
Nilikuwa navumilia kwa kujipa imani huenda nilimwelewa vibaya mheshimiwa..kwa ushauri huo inabidi tu kuanza ujasiriamali maana duh..ushu ni kwamba huo ujasiriamali unaweza usilipe coz hela hakuna mtaani.
Habari wana Jf:
Hivi ile kauli ya Rais ya kusema ajira mpaka uhakiki wa watumishi uishe alimaanisha pia kwa salary increment kwa watumishi?
maana tunaweza kuwa na hope ya kusubiri kumbe ndo imepita hiyo. naomba mwenye uelewa kwa hili naomba ufafanuzi ili nami niwe na uelewa mmoja. maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.