Atajibiwa kama ilivyokuwa na waziri mkuu Wa Canada, mahakama itatenda haki, kwanza huyo raising mwenyewe ana mashtaka yanamkabili, akiingilia hili hataachwa ,
We ni muathirika na ni askari, pambana na hali yako, sisi RAIA tunateswa askari Wa usalama barabarani hats kwa makosa yanayostahili onto tu ETI usitufundishe kazi, yaani taa ya brake imeungua nikiwa naendesha unaniandikia fine 30,000??? Tunakosaga watetezi na we pambana na hali yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.