Mimi ni mteja wa Kampuni hiyo ya simu toka iingie nchini kama Celtel, Zain na sasa Airtel lakini hakuna wakati niliokwazwa nao kama safari hii wanapojiita Airtel.
Nilianza kukwazwa na tangazo lao lililonihamasisha "kujirusha" kwa Tsh. 250/= ili nipate muda wa hewani wa Dk 15 au Tsh. 500/= kwa...
Jana Taifa letu lilipitia hatua muhimu kabisa ambapo wananchi walifanya maamuzi ya kuchagua viongozi wao. Kuna mambo kadhaa yaliyonikera na yote yanatokana na utendaji mbovu wa Tume ya uchaguzi ambayo licha ya kusheheni watu kibao wanafanya mambo yao ki uswahiliswahili.
Hebu fikiria, tume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.