Aisee amefariki ijumaa tumezika jumamosi
Alinambia kwamba akitoka pale itabidi tuwe siriazi zaidi kwenda kanisani
Pia wakati ana aga dunia aliwaambia hilo kina mama kuwa waniambie hilo la kanisani.
ahsanteni nyote kwa ushauri, faraja na pole
MKE WANGU AMEFARIKI KWA MATESO SANA, TUMEHANGAIKA NA TUMEPAMBANIA SANA UHAI WAKE.
ukisikia nduguyo ana saratani, kuwa tayari kwa yote.
HATIMAYE AMEAGA DUNIA BAADA YA MAPAMBANO YA MUDA MREFU NA SARATANI YA MATITI ILIYOSHAMBULIA MAPAFU YAKE.
ALIYETOA NDIYE AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.