Search results

  1. N

    Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

    Hii movie Ina sitofahamu nyingi sana
  2. N

    Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

    . na yeriko nyerere Yuko wapi
  3. N

    Chadema wafanya vurugu kwenye ofisi zao Shinyanga

    Tatizo Ni nini kwani
  4. N

    Hotuba ya Zitto Kabwe - Julai 04, 2015 na Orodha ya walioweka fedha Uswisi

    SI mnakumbuka hata kwenye uzinduzi WA chama mtoto WA kwame krumah na mabarozi WA nchi za ulaya na Prof lipumba walikuwepo kama tulivokuwa tumetangaziwa! Chezea zito wewe
  5. N

    Ni Dr Slaa ITV na Zitto Channel 10 Live

    mi ninachojua Ni kuwa mkutano WA chadema Ni jumapili na WA act ndo kesho jumamosi
  6. N

    Spika anajuaje waliosema Ndiyo au Hapana wameshinda?

    Ana assume kuwa wote wanaosema siooooo Ni wabunge WA ccm sasa kwa vile wao ndo wengi bungeni basi kelele za siooooo zitazidi zile za ndiooo
  7. N

    Kwa mbinu hizi, Lowassa ni mafuriko yasiyozuilika kwa mikono!

    Sasa hapo Dr slaa anahusikaje, hapa topic inamhusu lowasa na ccm. Mda mwingine Ni bora kufikiri kwanza kabla ya kutenda au kuongea chochote
  8. N

    Umma upewe taarifa ni fedha kiasi gani zimeokolewa kutokana na mahudhiro hafifu ya wabunge

    Fedha yote inayotakiwa kulipwa kwa wabunge kama posho za vikao vya bunge ilishatengwa tayari wenyewe kazi Yao Ni kusaini Tu...na huwa wanasaiana na Kila mtu anaingiziwa chake mwisho WA siku...hata ikitokea bungeni amebaki spika pekeake hakuna hata senti tano itakayorudi hazina...
  9. N

    CHADEMA vunjeni UKAWA

    Kwa majimbo kama segerea, ukonga, kigamboni, Serengeti, morogoro mjini na kilosa chadema ina nguvu Sana ukilinganisha na vyama vingine ndani ya ukawa...mi naona Ni bora hayo majimbo vyama vingine vikakubari kugawana hayo mengine yaliyobaki..
  10. N

    Nani ni nani urais upinzani 2015: Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA

    Kama ishu ingekuwa Ni degree au u profesa basi tz tungekuwa matajiri..maendeleo ya nchi hayahitaji kiongozi mwenye elimu kubwa bali kiongozi mwenye maono ambaye atatumia wataalamu wanaomzunguka kuweza kufikia malengo na maono yake...hapo ndo mbowe anapowashinda wengine..adolf Hitler hakumaliza...
  11. N

    Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

    We mtu gani hata bungeni hachangii chochote...ina maana hayaoni matatizo ya watz na Hana njia mbadala ya kuyatatua? Bora alivokuwa waziri tungemtetea kuwa anaogopa kuikosoa serilali yake, lakini tangu 2008 Ni mbuge hadi Leo na hajawahi kukosoa chochote wala kukemea ufisadi na rushwa ina maana ye...
  12. N

    Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

    Naona watu wanashadadia Tu kumshabikia lowasa, akiwa rais tutajuta nchi hii..tutaona heri hata ya kikwete..lowasa hafai kabixaa kuwa rais kuanzia ye mwenyewe hadi team inayo mback up Ni hatari tupu.
  13. N

    Wanafunzi UDSM wafanya vurugu Mabibo Hostel kwa kucheleweshewa fedha za mkopo (Boom)

    Ukitaka kujua serikali inafanya makusudi jiulize Ni lini umewahi sikia wabunge wamecheleweshewa posho zao au mishahara Yao?
  14. N

    Utafiti: Mnyika kurudi bungeni ni 100%

    Ufike mda watz tujadili mambo ya msingi na kwa hoja na sio kutukana Tu, kazi ya mbunge Ni kuisimamia kuishauri na kuiwajibisha serikali. Na kwa hapo John mnyika kajitahidi Sana ukilinganisha na wabunge wengine.
  15. N

    Hivi kwanini ITV wanapenda kuripoti habari za migogoro zaidi ya za maendeleo?

    Huyo mleta mada sijui Ana uwezo gani WA kufikiri, kwani hiyo migogoro wanayorusha itv Ni ya kutunga? Mbona mgogoro WA kiteto hata tbc walirusha na serikali ilichukua hatua kwenye kuutatua..ni vizuri kutumia akili na sio kutumia hisia na mihemuko
  16. N

    Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

    Mbona chama chetu kimefanya mambo mengi makubwa tangu tupate uhuru inakuaje wewe kuhusu maji ubungo wakati serikali ha ccm imefanya kazi ya kusambaza maji nchi nzima au ubungo sio sehemu ya Tanzania...
  17. N

    UKAWA, mbona mpo kimya wabunge wetu kupewa mafao makubwa kiasi hicho mil 230 kila mmoja?

    Kumbuka hyo tayari Ni pesa iliyotengwa kwaajili ya posho kwahyo haya cdm wasipochukua haitasaidia kitu..jiulize ile hela ambayo ilitakiwa walipwe ukawa kwenye bmk ilienda wapi?..cha msingi hapa ni wananchi kuamka na kupinga huo wizi na sio kusubiria cdm ndo waongee pekeao.
  18. N

    CHADEMA Imeshapoteza Majimbo ya Ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015

    Ni kawaida kupoteza ILA tatizo haiwezi kutokana na hivyo vigezo ulivyoweka..sio watanzania wote wadini kama wewe, kwani kikwete alivoshinda kwa 80% mwaka 2005 ndo inamaanisha kuwa waislamu nchini wapo 80% ya watanzania wote?
  19. N

    CHADEMA Imeshapoteza Majimbo ya Ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015

    Kuanza kuingiza propaganda za kidini kwenye siasa Ni kuishiwa hoja..dadangu ff usipende Sana kushadadia udini sio vizurii, jenga hoja zako kwa ustaha tutakuheshimu.
  20. N

    Uchaguzi mkuu Uingereza, je tuna cha kuiga?

    Wenzetu waingereza wanafanya mambo Yao kwa ufanisi mkubwa na Kila kitu kiko wazi kwa 100% hata waziri mkuu David Cameroon amekiri chama chake kupata wakati mgumu kutokana na kutokuwa na uhakika WA kushinda...
Back
Top Bottom