VIVA ROMA VIVA
#nana nana nanana!!
(Tongwe records baby!!)
Verse 1
Nimeshapigwa sana mkwara na jumbe za
vitisho/ Ila siamini huu msafara ni vibaraka wa Mrisho/
Si tulianza sawa vita kuitetea ikulu/
Leo umeisaliti UKAWA kwenye sherehe za
uhuru/
Uhuru ukwapi mnasherekea uhuru??/
Uhuru wa...
Gazeti sio nipashe no uhuru toeni ujinga wenu hapa mkiendelea kumfuatilia atawalopua kama alivyoahidi, haha silaha yenu imewekwa wazi uchi yaani tafuteni nyingine kama mnauwezo
ayaaa hao wamebebwa na malori haiwezekani hata kidogo Lowassa akaendelea kupendwa hivyo jamani msidanganyike ccm ni kazi tu kwenda mbele pombeee oyeeeeeeeeeee kidumu chama cha madili ya uhakika kidumu cha mbege juuuuuuuuuuuuuu
kwakweli jamani tusiwafanyie hivyo japo wanajiita waleta mabadiliko tusiwafanyie hivyo wanaweza kutukamata mahali wakatushinda kiurahisi ewe ccm calm down!
Mheshimiwa Leo ametembelea Mama ntilie kuangalia hali walizo nazo katika kuchunguza sababu ya mlipuko wa Magonjwa hasa kipindupindu ambacho kimetokea majuzi pia alipanda daladala mpaka gongo la mboto kuangalia jinsi abiria wanavyo kaa kwenye foleni barabarani na kero ya usafiri ambapo alielekea...
Cha kusikitisha na kuhuzunisha ni kuwa tembo wengi kwa sasa wanazaa wakati hawana pembe ama akiwa na pembe fupi fofauti na zamani,na hii ni kutokana na stress wanazozipata kutokana na kuwindwa na kuuawa.
Hii ni dhambi kwa watawala na viongozi wa vyama wanao fanya uwindaji na kuwaua hawa wanyama...
Cha kusikitisha na kuhuzunisha ni kuwa tembo wengi kwa sasa wanazaa wakati hawana pembe ama akiwa na pembe fupi fofauti na zamani,na hii ni kutokana na stress wanazozipata kutokana na kuwindwa na kuuawa.
Hii ni dhambi kwa watawala na viongozi wa vyama wanao fanya uwindaji na kuwaua hawa wanyama...
Cha kusikitisha na kuhuzunisha ni kuwa tembo wengi kwa sasa wanazaa wakati hawana pembe ama akiwa na pembe fupi fofauti na zamani,na hii ni kutokana na stress wanazozipata kutokana na kuwindwa na kuuawa.
Hii ni dhambi kwa watawala na viongozi wa vyama wanao fanya uwindaji na kuwaua hawa wanyama...
Cha kusikitisha na kuhuzunisha ni kuwa tembo wengi kwa sasa wanazaa wakati hawana pembe ama akiwa na pembe fupi fofauti na zamani,na hii ni kutokana na stress wanazozipata kutokana na kuwindwa na kuuawa.
Hii ni dhambi kwa watawala na viongozi wa vyama wanao fanya uwindaji na kuwaua hawa wanyama...
Cha kusikitisha na kuhuzunisha ni kuwa tembo wengi kwa sasa wanazaa wakati hawana pembe ama akiwa na pembe fupi fofauti na zamani,na hii ni kutokana na stress wanazozipata kutokana na kuwindwa na kuuawa.
Hii ni dhambi kwa watawala na viongozi wa vyama wanao fanya uwindaji na kuwaua hawa wanyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.