Upuuzi mkubwa sana na yote yanafanyika ndani ya mwamvuli unoitwa burudani, sidhani kama burudani haina haja ya kuzingatia maadili ya kitaaluma na kijamii. Kama waandaaji wa hiki kipindi wanafikiri kinapendwa sana waandae number za SMS watu wapige kura kukikubali au kukikataa watapata jibu...
Kama umri ni kigezo Nassari asingepata wingi wa kura aliopata 2010 na pia kura hazipigwi na wazee peke yao bali wanajimbo wote walioandikishwa ambao ni vijana kwa asilimia kubwa sana.......1/04/2012 itadhibitisha
Ni kweli atakuwa halii manake hii picha iko clear sana tungeona at least kotone ka chozi kanashuka, kanafiki sana kamama haka kanapretande tu!!!
:A S 112:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.