Heshima wanajamvi,
Kwa wale wanaopenda sport Bike kwa ajili ya motocross / Enduro etc
Used bike ipo ktk hali nzuri insurance na reg card vyote vipo.
Bei tshs 4 M. bike ipo Moshi.
Salute Wakuu,
1.Shamba zaidi ya heka 70 lipo Kjro Mdau anahitajika aje
awekeze katika kilimo cha mboga mboga.
2. Camp site / Recreation Park eneo lipo Moshi - Mdau anakaribishwa.
Kwa maelezo zaidi PM.
Napita hivi *-----
Wana jf kuna nyumba inauzwa ipo Magomeni Kagera -DSM
ina vyumba 9,Inafaa kuwa Hosteli, Guest,Godown,Kuishi 3 Familia,Kiwanda Kidogo cha Printing,Kusaga na Kupaki Nafaka Etc.
Mita 100 kutoka Morogoro Road. Bei maelewana
0715311604 na 0713236154 waweza kutuma SMS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.