Hii ndo Afrika bwana na hao wawekezaji wa nje (wazungu, n.k) ukienda ktk nchi zao utakuta zimejaa lami mpaka milangoni mwao, ili hali hawachimbi madini wala kulima mahindi (eg Japan).
Hakika nakwambia wao ndio kiini cha matatizo na shida za Afrika nzima. Wanatengeneza silaha.., wao hawana...
Hao ni matapeli, kama wana hela za chapchap hivyoo ni bora wazipeleke m'nyamala hosptl kwenye wodi zisizo na vitanda wagonjwa wapumzike vizuri. Au la wakawape watoto wa wajomba na mashangazi zao.
Kwa taarifa yako sasa wewe ulietuma tangazo hili:
Watanzania wengi wamekuwa wakiandika sensitive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.