Search results

  1. S

    Mchawi mwite mchawi, kumwita mtukufu ni dhambi

    Hatunywi sumu, hatujinyongi.........ccm mbele kwa mbele. Walimu wa masomo ya sanaa wajiajili, wao sio kipaumbele, sasa kipaumbele ni kuweka bajeti ya kusaka alipo faru.......ukihoji maruhani wanakusandarusi unasahaulika. Kila anayepata ajira kwa jitihada binafsi lazima akatwe 15% ya mkopo...
  2. S

    Congo na Tanzania tunatofautiana style ya matumizi ta kuongozi wa imra ya walio madarakani

    Kwa mujibu wa Katiba ya DRC(Zaiire) leo ndio siku ya mwisho ya uongozi wa fascist Joseph Kabila. Kutokana na majukumu sijafahamu kinachoendelea Kinshasa kama jamaa kang'atuka au la. Madikteta waliobaki ni pamoja na Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda, Pierre Nkurunziza wa Burundi, Omar Al...
Back
Top Bottom