Hatunywi sumu, hatujinyongi.........ccm mbele kwa mbele.
Walimu wa masomo ya sanaa wajiajili, wao sio kipaumbele, sasa kipaumbele ni kuweka bajeti ya kusaka alipo faru.......ukihoji maruhani wanakusandarusi unasahaulika.
Kila anayepata ajira kwa jitihada binafsi lazima akatwe 15% ya mkopo...
Kwa mujibu wa Katiba ya DRC(Zaiire) leo ndio siku ya mwisho ya uongozi wa fascist Joseph Kabila. Kutokana na majukumu sijafahamu kinachoendelea Kinshasa kama jamaa kang'atuka au la.
Madikteta waliobaki ni pamoja na Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda, Pierre Nkurunziza wa Burundi, Omar Al...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.