hahahahaha wewe umepewa bei gani kina ray na aunt ezekiel wamepewa 50mil each wewe unaleta ushabiki
wenzako wananunua malory kila siku wewe sijui hata kama baiskeli unayo kama nayo ni ya mkopo shenxyx
Juhudi zipi katika kazi
1) Miaka hamsini Taifa letu halina ndege hata moja??
2)Ufisadi umeshamiri kila kona
3)Madawa ya kulevya na vijana wanazidi kupotelea humo kwenye matumizi ya madawa ya kulevya
4)Barabara zilizojengwa hazina viwango hazina alama za barabarani, haziana waenda kwa miguu (...
mikoa 23 ndo imefanyaje??
ngoja uone kivumbi hata iyo mikoa utabadili mada utakuja kulea mada za kata na wilaya mabadiliko ni lazma na lazma mrudishe ela zetu zoote escrow, meremeta kagoda richmond na tembo wetu mtawarudisha, na mtawapeleka mateja wote methadon mliowaharibu
Yuko dodoma na magamba mtamuona siku ya uzinduzi, ccm imesha kufa toka mumpe mswahili wa bagamoyo nchi
akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa wanaishia kununua malory ya kusafirisha mafuta nje ya nchi dah aibu sana na tutataifisha hayo malory yote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.