Search results

  1. D

    Kwanini tunaibeba DP World kiasi hiki?

    Inasemekana wameshaanza kazi bandarini NI kweli au???
  2. D

    Mwalimu Mwakasege kufundisha katika semina ya Karismatiki ya Kanisa Katoliki jijini Dodoma 31/05/2022

    Kweli hazina ipo na hii ni mojawapo hutaweza kuikwepa subiri uone labda Wewe uhame
  3. D

    Mwalimu Mwakasege kufundisha katika semina ya Karismatiki ya Kanisa Katoliki jijini Dodoma 31/05/2022

    Huu ni mkondo kama ulivuo mkondo WA WAWATA... WA kila mwanamke mkatoliki ni wawata. Karismatiki NI mkondo WA karama ... charisma... Kila mbatizwa lazima awe na hizi karama za Roho Mtakatifu. Huwezi kuwa Moyo WA Yesu au UWAKA au kwaya yoyote kama huna hizi karama. Soma hapa utaelewa zaidi...
  4. D

    Mwalimu Mwakasege kufundisha katika semina ya Karismatiki ya Kanisa Katoliki jijini Dodoma 31/05/2022

    Wacha kuhukumu. Mungu hapendi wanaohukumu wala watukanaji. Haimbariki Mungu. Ni vizuri kuelimishana na kama mtu haelewi usihukumu endelea kuomba Roho WA Mungu ndiye mwalimu pekee na atafanya kazi Tu Kwa wakati wake kama Wewe ulivyofikiwa.
  5. D

    Mwalimu Mwakasege kufundisha katika semina ya Karismatiki ya Kanisa Katoliki jijini Dodoma 31/05/2022

    Kama Wewe ni mkristo WA dhat ingia kwenye YouTube: Andika kongamano la Pentekoste Karismatiki Dodoma: kuanzia day 1 Hadi sasa naamini maswali mengi uliyo nayo yatajibiwa. Na kama Wewe ni mkatoliki utaeleweshwa pia kuhusu sinodi ..
  6. D

    Mwalimu Mwakasege kufundisha katika semina ya Karismatiki ya Kanisa Katoliki jijini Dodoma 31/05/2022

    Tuzidi kumuomba Mungu kazi yake aliyoijia duniani ikamilike. Kusemana huku hakuna tija.... Wewe unajua ... Mimi sijui... Tuelimishane ili tutembee pamoja. Ubarikiwe sana Chokodari . Huu ndiyo uelewa WA Hali ya juu. Usio na ubaguzi
  7. D

    Mwalimu Mwakasege kufundisha katika semina ya Karismatiki ya Kanisa Katoliki jijini Dodoma 31/05/2022

    Ndugu NI lini mara ya mwisho ukiingia ndani ya Kanisa katoliki? Usitoke conclusion za juu juu. Roho Mtakatifu hakubagua alipowashukia familia ya Kornelio walikuwepo wenye kila tabia... Soma tena Year 31:29-30
  8. D

    Mwalimu Mwakasege kufundisha katika semina ya Karismatiki ya Kanisa Katoliki jijini Dodoma 31/05/2022

    Hapana hawa ni wakatoliki kamili na huu ni mkondo WA uamsho ndani ya Kanisa katoliki uliokubalika na Baba Mtakatifu na mkondo huu uko chini ya kila Askofu WA Jimbo.
  9. D

    Mwalimu Mwakasege kufundisha katika semina ya Karismatiki ya Kanisa Katoliki jijini Dodoma 31/05/2022

    Acha dharau kila mtu kapewa talanta yake kadiri ya uwezo wake
  10. D

    Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi - 27/09/2021

    Kesi ikiisha tu kesho yake tunalianza kwa maandamano "Katiba Mpyaa" watafurahi
  11. D

    Padri Mahakamani kwa tuhuma ya kumbaka mwanafunzi

    Askofu awaite wafunge ndoa tu. maana hapo hakuna kizuizi. Wakaanze maisha ya kuwalea kichanga kijacho. Wazazi wakikataa inakula kwao. Wasiogope umri!!!
  12. D

    A humble request to CCM

    Anza wewe kumlazimisha. Maridhiano ni muhumu, dunia imesikia. la kutokea likitokea hata wewe utasema neno la kulaumu. Jitokeze wewe uliye jasiri uwe wa kwanza.
  13. D

    Freeman Mbowe, Said Issa na Tundu Lissu, washinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu CHADEMA

    Huu ni ukweli usiopingika; wakatae; wakubali; Tulianza na Mungu, Tutaendelea na Mungu na tutamaliza na Mungu; Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki CHADEMA.
  14. D

    Picha: Umaskini wa fikra, Billion 13 ukumbi mzuri ofisi za hovyo

    USSR, Weka na picha za mafuriko ya Dar
  15. D

    Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

    Hivi CCM wanapochagua mwenyekiti wao Viongozi wa dini yanakuwapo? Naomba wa kunijuza
  16. D

    Hii ndio bendera ya mashoga,choma moto popote uinapo Tanzania...

    Penda kufahamu, kujua na kuelewa mambo yanayotendeka duniani kwa usalama wako na uzao wako wa baadae. Usiwe wa kuona karibu tu. Jaribu kujua kesho yako, kesho ya familia yako, kesho ya jamii inayokuzunguka na hata kesho ya taifa lako ikoje na itakuwaje; kiafya, kielimu, kimaendeleo na pia...
Back
Top Bottom