Rose mie kwa namna moja au nyingine nakubaliana na wewe ...hivi vitu haviingii sana akilini....lakini wanawake wengi wanapenda penda hii habari hasa huku ughaibuni napoishi..sasa inanichanganya kidogo lakini wanahususdu vitu hivi yaani akipokea hata kama ni mara ya kwanza basi dalili nzuri sana...
theory remains theory ....needs to be put in practise to prove it...assumptions need to be challenged ....kuna ukweli ndani yake lakini 'kibailojia" uliyonukuru hapo ni shetani....na huyu shetani myama mbaya haoenekani....i have reasonable doubts kuwa bilogy is behind the evils stated...
Hapa ndugu nakubaliana nawe,kwani wanawake wanahisi not secured na hivyo kila hatua inakuwa calculated.Hata wanapotemebea hujiangalia angalia sana miilini mwao kana kwamba kuna kitu bado pungufu...that is their nature then..
To a great extent nakubaliana nawe na pia aliye sema it is bilogical thing ,lakini katika mambo mengi likiwemo hili ni kwamba men are known as"BRAINS" and women are "machines" sasa hapa naona mashine lazima zianziahwe na only brains can start machines.Ni sawa na kusema akili ndiyo inaenedsha...
Dena, katika sehem hii ya ulimwengu mimi ninapoishi opposite na uchunguzi wako wa siku hiyo, lakini nakubali haya mambo yapo but for it boils down to communication baina ya wahusika wawili na it could go either way-ni masikilizano2
poa , natumaini vitendo vitakuwa vizuri na taweza kuchangia katika topic mbalimbali kwani kabla ya jujoin nimekuwa nikitembelea baadhi ya interesting topics.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.