Waziri Ummy alikua pia dactrari..?? Mbona hukuwahi kuhoji..? Rais amejaribu kuweka viongozi kwenye wizara husika MTU mwenye uelewa na wizara hiyo. Na hii ni karibia wizara zote. Wewe unataka Ma Engineer au Maafisa kilimo ndio wawe ma RMO na DMO..?
Alivyogombea uraisi last year alikua anakidhi vigezo vya umri, means alikua na zaidi ya 40years. Sasa nyie hiyo ya 1978 mmeipata wapi..?? Angekua amezaliwa mwaka huo angekubaliwa na katiba ipi kugombea uraisi..???
This is a very great move..!! IDADI ya magari Tanzania inatosha kabisa kukipa soko la uhakika..!! Hapo bado nchi za East Africa na Congo. Mi nadhani kikifufuliwa halafu kikatengeneza matairi bora kama iliokua inayatengeneza hakitakua na mshindani..!!
Wakitoka hapo wavifufue Viwanda vya ngozi (...
Hizo wizara nyingine mbona hakuonesha hayo makeke..!! we want someone who his/her performance has never been questioned..!! Prof muhongo, dr mwakyembe and mwingulu can fit this position..!!
Tuanze kwanza na kutengeneza vyama ( chama) vya siasa vyenye uzalendo na demokrasia ya dhati, vyenye nia ya kweli ya kumkomboa mtanzania..!! Tukifanya hivyo kweli tutafanikiwa lakini kwa maigizo yanayoendelea ni ngumu sana kutafunika...
Watanzania sio wajinga kama ulivyofikiria...!! Hatuwezi kumpa fisi atawale nchi..!! Mpaka upinzani utakapokua upinzani kweli na sio timu ya wasakatumbu ndo tutawachagua upinzani...:hand:
Si alisema zito hakumsaidia 2010..!! Haya tuone sasa kama anaweza kusimama na miguu yake..!! Its sad kumpoteza mnyika but he is not honest..!! So aende tu..
Umetumia ratio ipi..? List ya wafanyakazi wote wa NSSF inaonyesha wenye majina ya kikiristo ni more than 65 percent..!!! Shida yako kubwa ni Boss wa NSSF, Peleka udini kwenye ukoo wenu, kama umekosa sifa nenda kalime bamia..
Kwani watu wote muhimu unajua walipo..?? Au mpaka Angekua kwenye campaign za UKAWA ndo ujue alipo...?? Nenda Officine kwake ukamuulizie kama una shida nea sio huku...!!
In politics watu hukumbuka maneno yaliosemwa na mtu wa mwisho na wakwanza..!! na sio wa katikati..!! Ndo maana chama cha kijani kila uchaguzi wao ndo wanafunga kampeni pale jangwani ...!! Hi sio bahati mbaya bali ni mkakati. Sasa wewe ukisema alikuja siku ya mwisho so kwako sio issue but trust...
Wasaka tonge tu hao hamna jipya..!! Kama wanafuata falsafa za nyerere wajiunge ACT..!! Kama ni mrengo wa kati UKAWA ipo kama mabepari waende kwa the greens..!! Sasa vyama vinatosha tunataka sera na mikakati na jinsi ya utekelezaji wake...!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.