Ule umati wote wa Wachagga uliojitokeza kumpokea na kumsikiliza JK walikuwa wale wafu waliofufuka ambao kwa nguvu ya padre aliyefulia hawataweza kufufuka siku ya uchaguzi kwenda kumpigia JK na mgombea wa CCM? Acheni habari za kitoto hizo.
Kwa hiyo tukachague viongozi wenye maradhi na ujinga kwenye familia zao kwa sababu "hata yeye katika familia yake yanamgusa". Bora hata usingevunja huo mwiko ulioudai.
Nyerere alikuwa na nyumba Magomeni na Msasani. Ni "Mtanzania gani wa kawaida" alikuwa na nyumba za beach house Msasani?
Tena hiyo nyumba ya Msasani tulitapeliwa. Kwanza wakati anang'atuka na kuzunguka nchi nzima kwenda kuaga huku akipokea kila aina ya zawadi aliizuia nyumba ile kwa serikali...
Naona bado hujaacha tabia yako ya kuipiga vita CUF popote pale unapopata nafasi. Unadai nguvu hizo za mwaka huu haziwezi kulinganishwa na za mwaka 2005. Je hamkuwa nyinyi waandishi wa habari mliokuwa mnatuambia mwaka 2005 kuwa mpambano wa urais ni kati ya Kikwete na Mbowe tu na kumtoa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.