Habari mkuu. Nenda kwa fundi wa vifaa vya electronics umwambie akuundie Delay System yenye relay kwa ajili ya kuzuia hiyo kelele usiyoitaka wakati kuwaka na nyingine ya Under Voltage Lock Out(UVLO) yenye threshold voltage iliyo juu kidogo kuliko original UVLO hata tofauti ya milli-volts kadhaa...
Mkuu, si mradi TL au TL494, bali pia package yake pia ni muhimu. Hili suala nimeshalieza kwenye post zangu zilizotangulia ila milango ya ufahamu imefungwa watu wasielewe. Ni TL494 ya kubandika, si ya kuchomeka, na upatikanaji ni mgumu baadhi ya maeneo, ndo maana nimeuliza mhitaji mahali alipo...
Hiyo IC ya kuwasha inverter ya subwoofer yako ni package ya SOIC-16 au SOP-16, zilizo nyingi madukani ni PDIP-16 package. Ila inategemeana na eneo ulilopo, jaribu unaweza kupata. Kwani uko wapi?
Japo sijui algorithm iliyotumika kuandika program ya hiyo subwoofer, tatizo litakuwa contents za EEPROM ambazo zinatumika kama default setting values za subwoofer yako zinakuwa zime-corrupt. Mfano, kama volume ilikuwa inaanzia 10, ikabadilika ikawa 23, ikatunzwa kwenye EEPROM, itaendelea hivyo...
Mkuu BUSH BIN LADEN, japo sijajikita zaidi kwenye matumizi ya Consumer Electronics, bali R & D ya hiyo field upande wa digital technology, uzoefu wangu mdogo
upande wa matumizi ya HT unaniambia kwamba HT yako haina hitilafu ni settings tu.
Japo hiyo HT ni 5.1 capable, imesetiwa kwenye mfumo wa...
Mkuu Prince Mhando, hiyo Subwoofer yako unvyoiwasha inawaka sauti kubwa sana ghafla au inaanza sauti ndogo ndiyo inajipandisha? Je kwenye display inakuwa inaonyesha level ipi ya volume?
Mkuu La Pronto, samahani kwa kuchelewa kutimiza ahadi yangu kama nilivyoahidi kukurejea ndani ya Siku tatu, kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Hiyo HT yako ikiwaka inatoa sauti ndogo hata kama utafikisha max volume?
Je, kama ni ndiyo, inakubali kupunguza hiyo sauti ndogo hadi...
Wakuu Prince Mhando na La Pronto, karibuni katika ulimwengu wa Digital Technology.
Kwanza poleni kwa changamoto zinazo wakabili. Napenda kutoa msaada wa kitaalamu,lakini mazingira si rafiki. Nitawarejea ndani ya Siku tatu.
Mshana Jr kama unamaanisha taa ya projector, japo lens pia inaweza kuchubuka au kuharibika kwa namna nyingi
, kama component yeyote ya electronics inavyoweza kuharibika, sina neno. Taa pia ukipata replacement yake inaendelea kufanya kazi. Hebu tafiti zaidi. ELIMU HAINA MWISHO
Habari. Ni lens au taa? Ikiungua power supplly pia unabadili lenz inapona?
Kama tatizo ni taa, ukiweka mpya au ukafanya modifications ukaweka taa ya LED haitapona?
Kumbuka duniani watu tunatofautiana uwezo, ninapoishia mimi, ndipo wewe unapoanzia na kusonga mbele, unavuka limit niliyokuwekea kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.