Usiwe na shaka. Nikupe ushuhuda mtu wangu, mie nina degree ya utawala na nilisota ile mbaya nikaona nijikite katika biashara ya bodaboda na maisha yakawa yanaenda na niliendesha na nikawa napata hata pesa za kwenda kwenye interview sehem mbalimbali hapa nchini (nimeajiriwa sasa). Ushari wangu...
Pole sana Mbishi, usijutie kilicho pita hata kidogo, ila kinacho hitajika ni kujipanga kwa kutumia elimu yako uliyo ipata kuweza kufanya shuhuri yoyote upate kipato cha kujikim. Mfano mie nina elimu ya chuo kikuu kwa sasa nimejiajiri kwenye bodaboda ninapata pesa nzuri na ninaiheshim kazi yangu...
mwenye sura mbaya kwa kawaida roho nayo mbaya, majirani zetu ndivyo walivyo tuwazoee tu na tusidanganyike amani yetu tuilinde na ikibidi tuitukuze. ndugu zanguni tuwe makini sana na wanasiasa tusishabikie tu bali tuangalie watatufanyia nini? maana makundi nahisi kama yananza!! haswa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.