Search results

  1. U

    PAC ilivyowajaza hasira wananchi

    Hakika PAC walikuwa na malengo machafu! Zito ni wazi anatumiwa na SCB kupelekea kulipwa asichostahili. Kama SCB anadai angejitokeza na kudhibitisha deni lake. Hata sasa akidhibitisha atalipwa na IPTL. IPTL ni solvent company. Kuwa Creditor hakumfanyi kumilki IPTL., SCB waaache hizo kuwatumia...
  2. U

    Mh. Zitto Kabwe ni hazina kwa Taifa hili

    Zito ni mwongo na mnafiki sana! ni hatari kumwamini. Na nashangaa anaendelea kuhubiri uongo kule lindi na mtwara. nimejua pia ni mwepesi kutumiwa na maadui wa nchi n kutuangamiza. Namuuliza standard chartered Bank wamempa ngapi?
  3. U

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    Anajidai pia kusaidia wasanii; kusaidia au kufuatilia vijukuu vya kike?
  4. U

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    HUYU NI FISADI NYANGUMI Kwa miaka mingi kumukuwepo na jitihada za makusudi kabisa zinazofanywa na vyombo vya habari vya IPP kuchafua baadhi ya wizara za serikali, watu binafsi na ofisi za taasisi mbalimbali kwa malengo yao binafsi wanayoyajua wao wenyewe. Ni wazi kabisa hakuna asiyejua chuki...
  5. U

    Mhariri wa Nipashe ana ajenda na kazi maalum

    ni kweli kabisa huyu dakta feki aspodhibitiwa ataifikisha nchi pabaya
  6. U

    Mhariri wa Nipashe ana ajenda na kazi maalum

    Kwa miezi kadhaa sasa mhariri wa Nipashe amekuwa akiendesha kampeni maalum na si bila ya maelekezo ya Dkt Reginald Mengi ya kuhakikisha kwamba Profesa sospeter Muhongo ama anafukuzwa kazi au anajiuzulu. Hili la akaunti ya Escrow limekuja tu katika kipindi ambacho tayari kulikuwapo na kampeni...
  7. U

    Prof. Anna Tibaijuka atolea Ufafanuzi sakata la Escrow, agoma Kujiuzulu

    Hata watanzania tuna imani nawe. endelea kutafuta pesa za kuendeleza watoto wetu wa kike. Chapa kazi tupo nyuma yako.
  8. U

    Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni

    Da kaka unmetoa data vizuri sana, kwani suala hili la Escro watu wanadhani kuwa haya maamuzi ndiyo yatakuwa mwarobaini wa rushwa na ufisadi nchini, kama nchi ni lazima tukaechini na tujitafakari kuweza kuona ni nini cha kufanya na tuache kusolve mambo magumu kwa majibu mepesimepesi na ya...
  9. U

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Kwani kufuatilia hizo taarifa mpaka wakumbushwe?.
Back
Top Bottom