Wakubwaa habari za majukumu...
Tuwekane sawaa kwenye hili cognitive report ni kitu gani na nini ? Kuna shirika linataka Cognitive report ili procedure za kuaajili ziendeee:
Je kwa tanzania kuna hizi mambo?? Kama zipo zinafanyikajee??
Nimeuliza nipate elewa na kujifunza in General on this please...
Mi niko napiga nao kazi niko mkoa wa Tabora sio siri hawa hawana longo longo kama uko vizuri, kwa anae jitolea kwa mwezi anapata mia Nne na nauli juu so kama una qualification hasa ktk issue za Afyaa we nenda ofisini kaombe kujitoleaa
Hivi mazee ukimaliza kuomba no zote zikawa 100% na system ikasema maombi yako yametumwaa Tamisemi ...vip nikitaka kubadili inawezekanaa .?? Kwa mfano mie nimeambatanisha barua ya maombi na Cv je nikitaka kutoa natoa?? Au maombi yakitumwaa hayabadiliki??
Sio mbishi thinking capacity ya watu humu ni ndogo sana even reasoning hakuna watu wanajitamkia tu na nyie mnakubali....hakana email hata moja iliyo tumwaaa kuhusu kuendelea au kuto endeleaa aise zakuambiwa changanyeni na zenu....mtu from no where anakuambia mimi nilipata 70 nimeambiwa...
Daaa humu ndani Assumption ni nyingi sanaa kuliko ukweli.... HR ni wengi kuliko maelezo....
To be honestly Assumption mtoazo zote hazina ukweli wowote ule zaid mnapeana mapressure na matumaini yasiyo na tijaa...
My take..
Subirini mda na wakati mtajua tu...msijipe vyeo vya Marasilimali watu...
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] na 15 unaendaaa wapi if ni issue ya written interview obviously they will take kuanzia 65 to 100 hiyo ndio taarifa niliyo nayooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Brooo kila nch janga la ajira lipo...ishu ya kusema chama fulani chaweza tatua swala la ajira ni uongo dont be bribed by politician....wanatumia snalio hiyo kwa sababu wanajua vijana ndio wengi mtaani na ili wapate kura lazima wajidefence by saying watatoa Ajira kuwa kipao mbele...
Ushauri wangu...
It depend with the requirement since kuna branch za NMB zaidi ya 220 so still kuna possibililty ya kuitwaa hata walio pata 80
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu bwana na wewe umeamin how comes aitwe bira oral interview....ni uongo na wewe pia ni boya unashindwaa kuchujaaa habari....sijajua level of education uliyo nayo...
Ndio nyie mmescore 10,30,40,mnatafuta kujua what is real going on
Sent using Jamii Forums mobile app
Na watu humu ndani mnakubari kwa kila jambo there is no such assumption let us be critically huyuuu jamaaa anatudanganyaaa kana kwamba sisi ni watoto....ever HR recruitment process hujui....acha kuwa weka watu roho juuu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.