Hata kitaani juwon atakujaga kumtaka yu jung, he was swayed enough. Ni kwamba tu hakuwa anaziona side za seokyung, shida yujung atamkubal?
Hyewon ajipe muda, mimi nliona dongjin nae alikua ameanza kupagawa nae sema vile haeleweki bora tu arud kwa dahye
Kwanza hongera umefanya kitu kizur kwa moyo mzuri sana, hivi ambavyo unaumia kama usingemsaidia na hali ya mtoto ikawa vinginevyo ungejikuta hatian mara nyingi zaid
Watu kama hawa wapo na kama ni hulka sio wa kubadilika kwasabab hamna sehem ya ubongo wao inaonyesha wamekosea.
Wewe sasa...
Inawezekana maana nilihis kama nishawah ona ila sikumbuki wapi, mpaka nimekutana nayo tena coment section ya transit
Couple inayoniuma ni Dongin na HW nataman wangeishia pamoja,
Ila ndo hamna kinachoeleweka
Mbona ulifanya siri hahahah, dah ni nzuri sana
Yong woo mzuri sana awwh 😛
Ah exchange inakomesha mi ndo nlishangaa hizo final couple zilitokeaje watu sijui waliachana wiki ndo wakaingia humo
Han Kyul ivi una habari na pacha ya exchange ni My sibling’s romance nimetazama episode 2 ila am sooo hooked
Kwanza watu wadhurii alafu roho safii sijui huki mbele
Nasikia PD wa season 1&2 ya exchange ndo aloanzisha hii
Nina mtoto wa sister naona nishamfikisha huku
Anakeshea drama jaman akiamka 2hr anajiandaa shule
Shida ananiweza mie sa nne niko hoi bas ye anaamka anafungua device nikishtuka saa saba nakuta anatizama namsema, zaman nilimguide ambazo zitafaa kutazama ila saiv nahis akifungua tu anatizama yoyote.
K
Kama unayo nitumie telegram jana nime log in kila sehem ya kudownload inakataa, wakasema haipo accesible in my country nikatumia vpn lakin hola nimedownload app kibao.
Alaf masaa matatu sio poa
Han Kyul umefanyaje kushusha ep 15 ya exchange? Kama unayo naomba nitumie telegram nahangaika kuishusha wiki yote majib ni 404 not found
Na inanipa moto izo coment za wadau dramanice zimevunja record kwa dating show
Flex ina ukawaida ila nzuri nzuri
Queen of tears ni nzuri na inaonesha itakua nzuri zaid ila ndo ongoing sasa alaf wale daebak actors wapo wengi so ina assurance ya kuwa nzuri
Itakua napenda historical ila zisizobase kwenye siasa sana, kwa huu mwaka hiyo ndo namba moja yangu eti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.