Usemalo ni sahihi kabisa. Kodi zikusanywe na zitumike ipasavyo, itumike kwa kuasaidia wananchi, na palengwe hassa pale panapo hitajika, Lakini kwa sisi wa Afrika, sio Tanzania pekee hatuna viongozi wa kusimamia masuala hayo, wao cha kwanza kabisa ni kjijenga wao kwanza, na asilimia kubwa ya hao...
Ni kwa sababu hao waliokulia kwenye maisha mazuri wana roho mbaya zaidi kwa kuiba mali ya umma na kusababisha nchi kua maskini zaidi hadi huduma za jamii zinakosekana. Wao wanajirundikia mahela bila kuwa jali hao maskini wenye kipato cha chini. Wakina mama na watoto wangapi wanakufa kwa kukosa...
Yaani wamachinga wamekua sio watanzania tena. Yaani ni ubaguzi wa hali ya juu kwa hawa vijana wamachinga. Badala ya watu walete hoja nzuri ya kuwasaidia ndio kwanza wao wanaona kero hawavijana kuwepo hapo na kutafuta rizki zao. Ni kweli ndani ya hao vijana kuna vibaka lakini ingekua vizuri tuwe...
😆😆😆 kweli kabisa, kama ndio akili imemrudi. Lakini bahati mbaya kashavuta sana chakwake. Na tusishangae tukasikia kwamba kasamehewa na karudishwa kwenye post. Napenda sana juhudi ya raisi lakini bado kuna mambo mengi yanatakiwa yawekwe sawa.
Sasa kibaya hawa wamepeleka report kwamba mradi umeisha na watu wanapata maji. Yaani hawa wamwdanganya taasiai kubwa pammoja na wamwdanganya raisi na waziri wake. Hawa ni watu wa hatari sana
Hivi jamani pammoja na juhudi na hatua zinazochukuliwa bado kuna uzembe hivi wa hali ya juu. Na kwa nini hassa??? Mbunge kwanza ulikua wapi hadi mradi wa mabioloni unachezewa? Mkuu wa mkoa na hadi wa wilaya? Hadi waziri aje ndio haya madudu ya shughulikiwe?
Binafsi natoa maoni ADHABU ya watu...
Huyu mtu ana nia ya kuchochea vurugu, mungu amlani, kwenye youtube pia kuna mtu ameandika exactly kama ilivyo andikwa hapa kwahiyo atakua mtu huyohuyo anajaribu kuchochoea moto huyu
Huyu mtu inaonekana kabisa ni mmoja wao waliotumbuliwa bila ganzi, sasa ana weweseka, anatamani litokee lolote ile ili mradi ile hali ya zamani imrudie tena.
Hapa nionavyo mimi na wenzangu wengine hapa na ni baadhi ya wanachadema ni kwamba wafuasi wengi wa chadema waliona vishindo vya ccm kwenye kampeni zao na wakujua kwamba hapa hakuna ushindi kwa chadema kwahiyo wakaamua kuacha kupiga kura maana waliona ni kupoteza muda ndio maana kura za Lisu...
Uko sahihi kabisa. Wapinzani inabidi wajipange upya, tena waje na vijana wapya, na waache masuala ya kupinga kila kitu, Kuna kupinga lakini waangalie kwnaza wanapinga nini, na wapi. Kipindi cha corona ndio chadema walipoteza watu wengi sana.
Kwahiyo umeshajitayarisha kabisa kuendelea kumwaga damu??? Hawa wanasiass wenu wananichezea akili kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe tena bahati nzuri au mbaya wenu hao wachedema wamejitokeza na kutoa ushahidi kwamba wamechoma wenyewe ofisi..
Na mbona husemi hao wa com walioumizwa.
Kwa mawazo yako...
Watanzania wengi wanataka kua na maisha mazuri lakini hawajui maisha mazuri yanapatikanaje, wanadhani kila kitu kinajileta tu, hata gharama ya kuendesha afya hawa jui inapatikana vipi, wandhani kodi inayokusanywa ndio italipia kila kitu. Hawajui utalii unahitaji kitugani ili tuweze kuwavutia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.