Wasalaam wana bodi, kwa muda mrefu nilipotea jamvini kutokana na mihangaiko ya kutafuta mkate wa kila siku.
Kwa muda wote huo nimepotezana na dada yangu kipenzi SHUNIE,popote ulipo kaka yako nakutafuta.
salama wana jamvi,najua chadema bado SUGU ataendelea kwenye kinyang'anyiro cha october,swali langu limelenga upande wa ccm,je nani ambaye ametia nia.?maana mpaka leo naona kmya.wenye kufahamu zaid atudadavulie hapa.asanteni na asubuhi njema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.