Ngarambe ya kisiasa imehihamishia Nchi mjini Dodoma, Imeandikwa na Kiogo Mpina;
Hali ya joto la kisiasa linavyopanda,limepanda na watanzania wote wanashauku ya kutaka kujua ni nani Atakayechukua mikoba ya Jakaya kikwete kukimbiza kijiti kwa upande wa CCM.
Ni kama nchi nzima ipo hapa Dodoma...
Katika kuelekea vikao vya Mkutano mkuu vya mchujo wa kupitisha wagombea hapa mjini Dodoma.
Watia nia wawili kutoka Chama cha Mapinduzi(CCM ) Naibu waziri sayansi na mawasiliano mh January makamba na waziri mkuu aliyejiuzulu Edward lowassa wameonekana kuziteka nyoyo za wanadodoma katika misafara...
Sasa ni zamu ya Kada machachari na kijana shupavu katika kusukuma gurudumu la maendeleo katika serikali hii ya awamu ya nne. Si mwingine ni kipenzi cha wana CCM pamoja na jamii ya watu wa rika mbalimbali wa Tanzania. Anatarajia kuzungumza na wana CCM pamoja na watanzania kuhusiana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.