Hata kabla ya Lisa watu tulishaamua tunafanya mabadiliko kwa kuwa tuna sababu zoooote kufanya hivyo. Lisa yeye kaja kupigilia msumari wa moto kwenye kidonda kibichi.
Inashangaza wasio watz kuona tunahitaji mabadiliko ilhali watz wengine hawataki kukubali kuwa JK has failed us
Mambo waloyazungumza ni mepesi mepesi yasokuwa na tija yoyote kwa taifa hili. Wametumia mda mwingi kumsema/kuwasema wagombea na mambo yao binafsi. Yaani ilikuwa kama huku uswazi kwetu watu wanamsema 'shoga' yao
Sikutegemea Mkapa culd spit that... Kweli siasa mchezo mchafu.
Hajipendi, yaani ajichimbie kaburi mwenyewe....
Mmachinga kageuka kuwa mkwere/mzaramo ghafla, ile mipasho si hapa. Hadija kopa katuharibia viongozi wetu lol!
@ Elli yeye mwenye mke (if he is commited in that marriage n he respects)katufanyia nini ambacho twaweza tembea kifua mbele kwa majivuno leo?
Hovyo kabisa, nyani haoni kundule kweli. Boriti jichoni mwake halioni, anaona kibanzi kwa mwenzie
anayoyafanya gizani asifiki hayajulikani.....
Mwanakijiji, wale wazee ndo wamempa jk jeuri ya kutoa mipasho leo (ambayo haikuwa na maana yoyote kwangu zaidi ya kujihami na nonsense as usual), lakini above alll leo ndo nimemaliza ile chembe ya heshima nlokuwa nimebakiza kwa Mkapa.
Kiranga unaonaje ukianzisha utaratibu wa kufundisha hiki 'kikoloni' anagalau kw amuda fulani kwa siku.........lol!!
mimi nahisi kama unaudhika ukiona mtu haelewi kilichoandikwa kwa kiinglish. (ni hisia tu)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.