Wanawake ni vigeugeu sana. Kama alivyogairi kufunga ndoa na wewe ndivyo atakavyokuja gairi kuendelea na wewe. Hapo utakuwa huna familia tena na watoto wanateseka. Stay focused!
Tatizo bw. G. Jacob ni kwamba, wafadhiliwa wengi huwa wanajisahau na kuanza kuangalia yale mapungufu modogomdogo yaliyokuwepo kwa mfadhili wake bila kujali ukubwa wa fadhira alofanyiwa. Ni mbaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.