Awe smart kwa kila kitu kichwani,kuvaa kama anvyoonekana mtoto wa Nyani Ngabu,awe wise enough na mwenye kujua anasema nini na wakati gani,that is for the first sight i can give him credit regardless of the colour and height,mengine yatajitokeza baadae kama anajua kupenda,kujali,n.k
GM,sometimes prayer can help to get rid of it,if something have been done through his past experience especially kama aliwahi kumtenda mtu.Vinginevyo labda bado ni kiwembe so anakuwa anawafikiria hao wapenzie muda wote,anahitaji kubadilika.
Kaka huo ni mtihani na huna budi kuufanya,huna namna ambayo unaweza kumtelekeza mtoto kwani inavyoonekana mama yake anataka pia kukwepa majukumu.Mchukue mtoto,pia next time kuwa makini sana katika kufanya maamuzi coz ona inavyokucost!pole lkn yatapita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.