Search results

  1. Dr. Mmbaga

    Akilala anawaota ma-ex wake

    Anahitaji prayer,aje church
  2. Dr. Mmbaga

    Ppsss psss....

    Naichukia sana hiyo style kwani ni ya kihuni,thru psss sikuwahi kugeuka kwani haina heshima wala nidhamu.Kwa sasa nadhani inatumika zaidi bar,,,lol
  3. Dr. Mmbaga

    Nini kinachowavutia wanawake wawaonapo wanaume?

    Awe smart kwa kila kitu kichwani,kuvaa kama anvyoonekana mtoto wa Nyani Ngabu,awe wise enough na mwenye kujua anasema nini na wakati gani,that is for the first sight i can give him credit regardless of the colour and height,mengine yatajitokeza baadae kama anajua kupenda,kujali,n.k
  4. Dr. Mmbaga

    Akilala anawaota ma-ex wake

    wataalamu wa kiroho,,,,,,,,,sidhani kama anamaanisha kina Prof maji marefu!:confused2:
  5. Dr. Mmbaga

    Akilala anawaota ma-ex wake

    GM,sometimes prayer can help to get rid of it,if something have been done through his past experience especially kama aliwahi kumtenda mtu.Vinginevyo labda bado ni kiwembe so anakuwa anawafikiria hao wapenzie muda wote,anahitaji kubadilika.
  6. Dr. Mmbaga

    Maswali na majibu kwa interview

    Sooooooooooo realistic,God bless u
  7. Dr. Mmbaga

    Jambo limezua Jambo.

    Kaka huo ni mtihani na huna budi kuufanya,huna namna ambayo unaweza kumtelekeza mtoto kwani inavyoonekana mama yake anataka pia kukwepa majukumu.Mchukue mtoto,pia next time kuwa makini sana katika kufanya maamuzi coz ona inavyokucost!pole lkn yatapita
Back
Top Bottom