- Kusema ukweli mimi nikiwa kama mzazi sikubali mwanangu awe na Kauwezo kake halafu anapata mwanaume mlofa kisha nimkubalie aoe mwanangu,NEVER sikubali kbs. Lofa atafute malofa wenzie Na huo ndio ukweli vinginevyo ndoa hiyo haitadumu. tumeshuhudia ndoa nyingi sana za aina hiyo.
- Turudi kwenye...
Mungu ni muweza yote,
Acheni mamboya kumchunguza chunguza Kenny, huyo baby ni wake nadhani angekuwa hana jinsia hata mpenzi asingekuwa nae, mbona anaonekana yupo fit kabisa na ameumbika kiume haswaaaaaaaaaaa,
Yaani tooso handsome
1. Kipande cha ndimu unasugua kwapani ukimaliza kuoga kinaondoa harufu.
2. Nyanya unaisaga then unapaka kwapani nayo huondoa kikwapa.
3. Sufuria uliyosongea ugali unailoweka, yale maji uliyolowekea unapakaza kwapani mara utokapo bafuni
Zipo njia nyingi za kiasili, ila inategemea na jinsi mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.