Inasikitisha kuona baadhi yetu tunaleta ajenda ya udini katika hili suala. Mr. Dau ni muislam, it's a fact, ana uhuru wa kuamini anachokitaka ni haki yake kikatiba. ni kichekesho kuona baadhi yetu hatuna tayari kuvumilia itikadi za watu wengine, na kudhani imani zetu tu ndizo zenye haki ya...
Inasikitisha kuona baadhi yetu tunaleta ajenda ya udini katika hili suala. Mr. Dau ni muislam, it's a fact, ana uhuru wa kuamini anachokitaka ni haki yake kikatiba. ni kichekesho kuona baadhi yetu hatuna tayari kuvumilia itikadi za watu wengine, na kudhani imani zetu tu ndizo zenye haki ya...
Nadhani THE BOSS ameshindwa kueleweka, tatizo siyo kuongeza ajira au ufanisi wa soko. Tatizo hapa ni tatizo la watanzania kulinda na kujivunia HISTORICAL ARTIFACTS zetu. Soko la kariakoo ni la kipekeee siyo Tanzania tu hata Afrika mzima, na kama soko hili lingekuwa katika nchi zilizoendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.