Bwana said mohamed, hivi ulishasoma ufafanuzi uliotolewa na Mh. Shukuru Kawambwa juu ya malalamiko yamhusuyo Dr. Ndalichako? Ulielewa vipi? Tushirikishe mkuu.
Kumbuka kuwa jambo ambalo unaliweka hapa lisilo na ukweli linapotosha na kuchochea chuki ya kundi la jamii kwa viongozi wa serikali.
Nanukuu tamko la Mheshimiwa Shukuru Jumanne Kawambwa juu ya kosa lililotokea.
Katika mitihani hiyo somo moja tu lilibadilika format, somo la Islamic Knowledge.
Ilitakiwa kitengo cha IT cha Baraza la Mitihani kibadili formula ya kutafuta wastani na kugawa kwa mbili badala ya tatu za mwaka...
1. Nyie mnajua lililokuwa linatokea NECTA kuliko Waziri Kawambwa ambaye NECTA ilikuwa chini yake?
2. MNA uthibitisho wowote wa kubagua Waislamu zaidi ya maneno yanayosikika mitaani?
Soma tamko hili la Waziri Kawambwa (ambaye ni muislamu pia) juu ya hayo uyasemayo.
Friday, June 8, 2012, at...
Hivi mtoto akiwa nyumbani unaweza kumlisha na kumpatia malazi kwa 350,000 kwa mwaka?
Ikumbukwe kuwa Serikali inapeleka kwenye shule zake za bweni zaidi ya 3m kwa mwanafunzi.
Yusuph Manji ni Diwani kwa tiketi ya CCM.
Kwa kuwa huyu Manji ni mwana CCM, hatachukuliwa hatua yoyote, wala hataitwa fisadi. Huyu ataachwa kwa kuwa akichukuliwa hatua chama kitachafuliwa.
Ikumbukwe pia huyu ndiye alikuwa chaguo la CCM kugombea umeya wa JIJI>
Tatty anaandamwa kwa kuwa msimamo wake ni kuwa block wale wabunge wa Zanzibar walioletwa Kinondoni kama mamluki kuongeza wajumbe wa CCM kwenye kikao cha kuchagua Meya.
Soma zaidi
FRIDAY , 11TH DEC , 2015
Mchakato wa kuwapata Meya wa Manispaa ya Kinondoni na Ilala jana umeshindikana baada ya...
Sababu halisi ya Lizaboni kuanzisha uzi huu, ni kuwa huyu Mwenyekiti wa halmashauri ametofautiana na vigogo wa CCM juu ya azma yao ya kulazimisha wabunge mamluki wa CCM kuingizwa kwenye baraza la madiwani la manispaa hiyo.
Kama inavyofahamika CCM baada ya kuona kuzidiwa idadi ya madiwani...
You need to learn and develop political tolerance. Sehemu za dunia zilizo na vita ni watu Kama wewe huchochea
Umelewa madaraka na unachochea hasira za wanaoonewa na mfumo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.