Sasa unaniuliza Mimi kama Kibiti kuna mauaji au hakuna mauaji yanayoendelea wakati mwenye mamlaka ya kutoa taarifa hizo ni polisi!?
Au leo umesahau kuwa waandishi wamezuiwa kusema jambo lolote linalohusu Kibiti!? Ukweli yanayoendelea Kibiti Mimi siyajui na hata wewe huyajui hadi tuwasikie...
Hivi wazanzibar wakiondoka wote Tanganyika ndio MUUNGANO utavunjika!!!!!??? Kwa mawazo haya kweli wazanzibar wanayo kazi ya kufanya hadi malengo yao yatimie.
Hivi watu kutoka nje wanaoishi Tanganyika ni wazanzibar Tu!! Au wote wanaoishi Tanganyika kutoka sehemu mbali mbali duniani nchi zao...
Sasa wewe umemuelewa huyu kilaza wa CCM aliepaniki kwa maskani ya CCM kuchomwa Moto!!!??
Sasa upemba na uunguja umekujaje hapo!? Ndio uwaelewe watu kuwa UAMSHO wamepewa kesi ya UGAIDI Ila uhalisia ni sababu za kisiasa.
Huu ni mwaka wa sita sasa wako ndani sasa nilini Zanzibar ikawa shuari na...
Sasa kuna maneno gani mabaya hapo!! Karume alieunganisha nchi katika moja ya hutuba zake aliwahi kusema HUWEZI KUWA MWANANCHI KAMA HUUJUI UCHUNGU WA NCHI.
Sheikh kachalenji hapo kuwa madaraka waliyonayo mainland sasa wayageuze yawe ya Zanzibar na ya Zanzibar yawe ya Tanganyika halafu wazanzibar...
Kwa akili hizi za watanganyika UAMSHO wataendelea kuteseka Sana!! Hivi nchi inapimwa kwa wingi wa watu!!! Hivi Brunei yenye watu laki 5 sio nchi!!!!! Au Vatican yenye watu 1000 sio nchi!!?? Au Monaco yenye watu 40,000 sio nchi!!!??
Hii ni hatari kweli kweli
Hebu rudia kusoma post yangu ya number 60 namna ya wasiokuwa waislamu wanavyoandaa sababu za kuweza kuwadhuru waislamu!!
Hivi unajua kwa nini akina maalim Seif Sharrif na wenzake waliwekwa ndani kwa miaka na kupewa kesi ya UHAINI!!
Huu ndio ukweli kuhusu UAMSHO kuwa hawako ndani katika magereza ya bara kwa sababu ya UGAIDI bali mambo ya kisiasa hasa pale walipowafumbua macho wazanzibar hasa wa UNGUJA ambao ndio iliyokuwa ngome ya CCM juu ya madhara na madhila ya MUUNGANO yanayoipata Zanzibar kutoka Tanganyika.
Wazungu wanasema ukitaka kumuua mbwa basi mpe jina baya.
Wewe unajua, serikali inajua na kila mtu anajua kuwa hawa watu wa UAMSHO wako mbali kabisa na ugaidi na hata wawekwe ndani umri wao wote basi hawatawakuta na hatia ya Hilo kosa la UGAIDI
Kosa lao kubwa ambalo wamelifanya UAMSHO ni...
Nikawaida ya hawa jamaa kutengeneza matukio na kuwabebesha jamii za kiislam!!!
Kosa lao kubwa ambalo UAMSHO wamelifanya basi ni kuzunguka katika VIJIJI NA VITONGOJI vya UNGUJA NA PEMBA na kuwaeleza watu UBAYA WA MUUNGANO WA TANZANIA
Hii habari ya kuwa familia ya wazembe wanataka kujitenga na familia ambayo inawapa manufaa makubwa inahitaji iwekwe kwenye vitabu kumbukumbu!!!!
Ila mtoa mada anahitaji kujua kuwa moja ya sababu ambazo zimewatofautisha wanaadamu na viumbe nyengine ni AKILI sasa hii familia ya "WAZEMBE" imeona...
Maneno yako KUNTU! Rudia Bunge la katiba pale mwanasheria mkuu wa serikali ya Zanzibar alipoenda kinyume na wote watu wa serikali ya Zanzibar pale alipoweka wazi asiyo wafikiana nayo ambayo yataenda kuiumiza Zanzibar na watu wake, hakujali kama atapoteza kazi au laa
Pia tusisahau kuwa hawa wanasiasa BORA TUMBO huwa wanahofia matumbo yao kukosa chakula hasa pale wanapoona wanaowaongoza ni WAOGA kuliko kunguru!
Viongozi wa upinzani Zanzibar wanajivunia uimara wa wafuasi wao ndio maana hata lile lilokuwa linavuma kwa wapemba katika miaka ya 1995 hadi 2000 la...
Upumbavu huu ni waasili uliorithiwa toka enzi na enzi pale wenyewe kwa wenyewe walipokuwa wanakamatana na kuuzana utumwani!!
Mbali ya upumbavu pia huchangiwa na UOGA uliokithiri!! Hata pale CUF walipoitisha maandamano ya January mwaka 2001 na serikali ikayapiga marufuku basi wazanzibar...
Moja ya shughuli za maendeleo ni kuziba mashimo yaliyomo katika barabara za lami kwa kutumia kifusi na kuwanyanyasa wafanya biashara ndogo ndogo na kuwanyang'anya Mali zao
Yule haogopi macho ya Allah wala haswali maana إِنَّ الصَّلَاةَ تَنْهَىٰ عَنِ الْفَحْشَاءِ وَالْمُنْكَرِ "hakika ya sala hukataza mambo maovu.
Hivyo mwenye kusali kweli hawezi kukubali kukubali uraisi ambao anauhakika hakushinda.
Wala mwenye kusali hawezi kukubali kwenye utawala wake kuwe na...
Wazanzibar siku zote wanaposema nyekundu basi kweli huwa nyekundu siku zote na katu haitotokezea siku wakabadilika na kuiita nyeupe au kijani
Na huu upumbavu unaoendelee Tanganyika hivi sasa wa Bora tumbo kuhama vyama vya upinzani na kujiunga na chama cha kupindua unazidi kuwasononesha na...
Huyu jamaa mbongo_halisi sidhani hata kama anaijua historia ya kweli au anajua historia ya kupikwa inayofundishwa mashuleni na pale kanisani mkunazini Zanzibar!!!!!
Anasahau kuwa waarabu wa mwanzo kabisa waliingia East africa kwa malengo ya biashara kwa kutumia PEPO ZA MSIMU (MONSOON WIND)...
Kabla hajawa hivi alivyosasa Lipumba na CUF yake wangaliweza kuzikabili siasa za utawala huu tulionao sasa.
Kabla hajarubuniwa na kuwa kibaraka Lipumba alikuwa shupavu na asie na woga hata chembe!
Wengi wetu tunakumbuka siasa ziliyokuwa baaad ya uchaguzi mkuu wa 2000 Mkapa alipiga marufuku...
Mimi sie ninaetaka bali dini anayoifuata huyo sheikh wa Dar ndivyo inavyotaka au wewe hujui kuwa M/Mungu katika Qur'an kasema "Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe"
Hivyo hawezi kukwepa na lazima M/Mungu wake atamuuliza tu namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.