Mdogo wangu hapa UK mshabiki sana wa mchezo huu. Kaniuliza juuzi inakuaje bondia wengi kutoka Tanzania hupata mafanyikio siku hizi ngazi ya kimataifa, wakiwaachia kwenye mataa kabisa wenzao Wakenya, Wauganda n.k.
Je, ni kweli? Na kama ndiyo, sababu yake nini hasa? Nitashukuru nikiyapata machache...
Ahsanteni sana kwa kunikaribisha. Vile naomba radhi kwa kukosea hapo juu, nilitaka kuandika "baada ya kulurku" na siyo "baada ya kukurukukuru". Lurku nimeibuni tu kutoka neno la kingereza lurk: kufuata mazungumzo ukiwa mwenyewe unakaa kimya na kutochangia lo lote. Hilo neno lengine kukurukukuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.