AMANI ya NCHI yetu ni muhimu. Kila mtu anakubaliana na hilo. Uchaguzi umekwisha salama. AMANI bado ipo. Shehe anatahadharisha tusije tukaiharibu amani yetu. Wote tuliopo Tanzania hili linaeleweka. Kila binadamu raia wa nchi hii analielewa hili. Lkn humu haifahamiki kama kweli wote ni binadamu...
unachoweza ni kunitukana tu lkn huna uwezo wa kutetea hoja yako dhidi ya hoja yangu kwa kutumia sheria ya dini, serikali ama science. Baki na pumbavu yako
Hakuna sheria yoyote inayokataza Kiongozi wa Nchi kutumia madhabahu kuhotubia. Hata hivyo madhabahu ni sehemu ya kawaida tu sawa na sehemu zingine ndani ya msikiti na ama kanisa.
Shida yako ni kuwa wewe ni miongoni mwa wananchi wachache wasiompenda kiongozi wa sasa wa nchi yetu.
topik zingine huwa zina anzishwa na watu wanakusanyika hapo. sasa ukitaka ku comment angalia kama wengi wa waliokusanyika hapo watapenda hiyo comment yako, au utaambulia matusi. Na kwa sababu hiyo mimi huwa sipendi ku comment kabisaaa....
lkn leo naomba niseme kidogo tu kuwa; Mh Mbowe ameongea...
Suali lako linaonesha namna unavyopungukiwa na ufahamu wa Mungu anavyofanya kazi. Suali hili lingekuwa suali la ovyo kuliko masuali yote aliulizwa Rais tarehe 4. Pole mzee
Jibu la suali lako mkuu ni gumu kwa sababu watu tumegawanyika mno sasa hivi.
Mgawanyiko wa mawazo na itikadi za watu ni wa kiwango kikubwa kiasi cha kutisha. Nikitoa jibu langu sidhani kama litapendeka na ama kusikilizwa kwa sasa.
Mkuu Ndikwega, tatizo ni kuwa hata huo ujasiri tunaoutaka ni ule usiokuwa na nidhamu ni ujasiri unaoondoa uoga wa na uadilifu pia. Mwendo huo hautatuletea matokeo mazuri kamwe.
Bwana Mystery, mimi sioni ubaya wa kauli hiyo. Kila mtu ana namna yake ya kuongea kwa kutegemea namna anavyomudu lugha husika. Pia inattegemea na aina ya misamiati aliyozowea tangu makuzi yake ya utoto na shule alizopitia. Pia inategemea na jamii aliyolelewa na kukulia.
Mimi nimegundua kuwa, sisi wa-Tanzania ni watulivu ( wengine tunasema ni waoga) lakini kuna ukweli mwingine mkubwa kuhusu wa-Tanzania. Baada ya kutoka kwenye mfumo wa kijamaa na kuingia kwenye mfumo wa kufanana na ubepapari (quasi capitalism) ambaao kwa kweli ni mfumo wa kifisadi sasa watu...
Nimesoma mawazo mbalimbali ya wana JF na kuona yalivyogawanyika. Lakini pia nimeona "magnitude" ya hasira aliyo nayo Lema dhidi ya rais wa Jamhuri. Siwezi kuelewa hasira hiyo inatokana na nini hasa. Siamini kama rais Magufuli kwa tamko la "sijaribiwi" ni tamko la kujifanya Mungu.
Je tamko na...
Mtu yeyote mwenyewe mawazo yake anaweza kujisemea habari kwa makusudi ya kusema ukweli fulani ama kujifariji yeye mwenyewe. Na wakati mwingine mtu anaweza kusema habari asiyoipima vizuri na Watu wakaipokea vilevile bila kuipima. Hivyo mjadala unaweza kuwa na marumbano marefu yasiyo na uelekeo...
Gavana, naona umepiga kona kali kutoka kwenye mada. Ukweli nimekuandikia na hukujadili Haifa mada moja ya bandicoot langu hapo juu,. Basi mawazo yako ni kushmbulia Pengo na Biblia kazi ambayo nakuhimiza uifanya kwa bidii lakini hutapata mafanikio ya makusudi yako hadi kiyama. Kama unabisha mfano...
Kijana Gavana, naomba urudi kwenye jukwaa la dini, uondoke huku kwenye jukwaa la siasa. Huku unaanza kueneza chuki zako dhidi ya Nyerere tunayemheshimu Nyerere kutuongoza vyema na kutupatia muungano na ndugu zetu wa Zanzibar waliokuwa wamevamiwa na sultan Mwovu, mgeni na aliyetaka kutuvuruga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.