Ngome zote za chama cha wananchi cuf kwa miaka mingi hazikuwa na maendeleo yoyote.. Hapa nazungumzia lindi, Mtwara, Rufiji, Pemba, Tanga, Kigoma, Tabora nk.
Hiyo ni mikoa yenye majimbo ambayo yana umasikini na ufinyu wa elimu.
Sasa tutegemee makubwa kutoka ACT WAZALENDO baada ya 2025 katika...
Habari zenu wadau wenye akili nyingi.
Hata msipoitikia me nazama kwenye swali moja kwa moja.
Ni hivi kwann mkoa wa pwani wenye wilaya kadhaa kama Kisarawe, Mkuranga, Bagamoyo,kibaha na rufiji unakosa japo hata MANISPAA?
Ikiwa ndo mkoa wenye viwanda vingi kwa sasa na pia upo jirani na jiji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.