Jamani nimepigiwa sim na rafiki yangu ambae yuko nje ya Dar.
Anasema kwa takribani wiki moja sasa ana maumivu kwenye njia ya haja ndogo(urethra). Hajajigonga wala kukwaruzwa na kitu kwa nje bali inauma kwa ndani. Nilimshauri aende hospital faster,leo kanambia alipofika kule akapimwa mkojo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.