Mpekechaji
New Member
- Mar 11, 2010
- 2
- 0
Jamani nimepigiwa sim na rafiki yangu ambae yuko nje ya Dar.
Anasema kwa takribani wiki moja sasa ana maumivu kwenye njia ya haja ndogo(urethra). Hajajigonga wala kukwaruzwa na kitu kwa nje bali inauma kwa ndani. Nilimshauri aende hospital faster,leo kanambia alipofika kule akapimwa mkojo akaonekana hana tatizo,ila dr. kampa antibiotics. Lakini bado anahisi maumivu kwa mbali. Nimemshauri akandamize tu hizo dawa kama alivyoshauriwa. Au wanajamii mna wazo lingine lipi zaidi jamani? Please advice,jamaa mahali alipo hakuna urologists.
Anasema kwa takribani wiki moja sasa ana maumivu kwenye njia ya haja ndogo(urethra). Hajajigonga wala kukwaruzwa na kitu kwa nje bali inauma kwa ndani. Nilimshauri aende hospital faster,leo kanambia alipofika kule akapimwa mkojo akaonekana hana tatizo,ila dr. kampa antibiotics. Lakini bado anahisi maumivu kwa mbali. Nimemshauri akandamize tu hizo dawa kama alivyoshauriwa. Au wanajamii mna wazo lingine lipi zaidi jamani? Please advice,jamaa mahali alipo hakuna urologists.