Habari zenu wana MMU.
Sikuzote napenda kuchangia lakini leo limenikaa kwenye Roho naomba niliseme yalojiri.
Wifi yangu amekuja kwetu yeye watoto wake na shoga yake kwa ajili ya likizo mpaka 12jan 14.
Huyu shoga wa wifi yangu namshangaa nyumba ina watoto wa kiume mumewangu anavaa KANGA moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.