hakuwa responsible kuyashughulikia kwa wakati wote huo kwa sababu kulikuwa na wenye dhamana hyo lakn hawakushughulikia positively.sasa anachukua jukumu hilo ni muhimu ayastudy effectively.hajakosea na imetufariji sana sisi malofa.
amekwenda kuangalia matatizo ya wananchi physicaly. hasa kipindi hiki cha kampeni.sioni kama anakosea.wakati ule alishiriki kwa njia nyingine kama harambee n.k. sio lazma kila kitu umkashifu mtu hata kama humpendi binafsi. mbona wapo wanaomsema vizuri magufuli lakin kura hawatampigia. khaah...
nimeanza kazi mwaka 2008. nimepandishwa daraja mara moja tu mwaka 2011. mshahara ukaja kubadilishwa mwaka mmoja baadae yaani 2012. malimbikizo ya mwaka mzima sijalipwa hadi leo. na kiwango cha mshahara cha sasa kabla ya makato (basic salary) ni 462,000.nina diploma in adult and continuing...
roho zinawauma. hivi toka lini ccm wakawatakia mema cdm.? lets talk about UKAWA. mjue kuwa akili hizohzo zinazowatia kiwewe ccm sahv ndizo zmefanya hiyo busara. we tunza kura yako kwa ajili ya mabadiliko. we need a leader not a manager.
lsh!..badala ya kurudi nyuma na kufikiria kuwa mliwawazia vbaya itvz ndio kwaaanza mnazidi kujidumbukiza ujingani. kile ni chombo cha hbr. kinatoa habari zilizopo.. bila upendeleo. mjinga ni yule aliyedhani kuwa itv inapendelea. yani badala ya kufuatilia homework za watoto wenu, mnakaa kubinya...
wengine wamejiandikisha kabisa. japo ni kweli inatia uchungu kuona lijitu linashabikia chama kiovu hadi kufikia kuvaa milapulapu ya kijani/ njano, lakini naunga mkono hoja kuwa sio jambo zuri hata kidogo. ni mfano mbaya hasa kwa nchi hii inayohehimika.
ahsante sana mtoa uzi. sio vzuri kabisa na ni ishara ya uvunjifu wa amani.binafsi sijawahi kuzomea mtu. ila nilishuhudia watu kadhaa wakizomewa. kiukweli nilifarijika sana. nilijisikia vizuri sana kuona wanaccm wakizomewa. lakini nakiri kuwa sio jambo zuri hasa kwa nchi yetu hii tamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.