Hizo bei ni kwaajili ya tractors tu, ukihitaji bei ya vifaa ama zana zinazokokotwa kwa tractor piga simu namba +255 713 847456 au uliza kupitia barua pepe: sales@csstanzania.com
Amoeba
Haujalifanyia kazi ndio maana unasema wanzikataa, kama unayo hiyo hati ya kimila nakuomba uje na copy ya hiyo hati. nakuhakikishia utapata mkopo wa zana za kilimo.
Kiufupi kaa ukijua kuwa hati za kimila zinakubalika kwa asilimia 100%.
Karibu kama unaswali jingine!!!
John Deere
John Deere, kampuni yenye uzoefu wa muda mrefu katika uzalishaji wa zana za kilimo na matrekta, imeingia Tanzania na inauza matrekta madhubuti kwa thamani halisi ya fedha zako.
Ofisi zetu zipo jijini dar es salaam, maeneo ya moroco katika mtaa wa ursino pembezoni mwa barabara iendayo mwenge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.