Tembea kidogo nje ya nchi uone.... jirani zetu Lusaka hawana changamoto ya foleni sababu kuna Round-about zimejinafasi. Huku kwetu kwenye makutano ya mfano Mwenge, Morocco, Ubungo, Buguruni, Mapipa tungeweza kuondokana na foleni endapo zingewekwa rotary za kutosha na pana. Unfortunately...
Mimi nashauri tuache kufanya vitu kwa mazoea. Kiustaarab hata baada ya kuingia mgahawani na kuwasalimia, bado ulipaswa kuomba ruhusa ya kutumia washroom (choo). Lakini kwa sababu ushazoeleka ukaona sawa. Tujitahidi kutumia elimu zetu kuondokana na sintofahamu kama hizi katika jamii
Sidhani kama ni gram 30. Tatizo ni kwamba waandishi wetu wa habari ni “reporters” kiasi kwamba hawatoi nafasi ya kushughulisha akili zao japo kuuliza maswali ya ufafanuzi (follow up questions).
Nakataa kuamini kwamba siku nzima mgodi unachenchua 30g. ...Pia nakataa kuaminishwa kwamba Mh...
Foleni nyingi kuingia na kutoka jijini zinaweza kuondolewa kwa kuweka rotary (mzunguko aka round-about). Mfano, junction za Buguruni, Mwenge, Mapipa zinapaswa kuondolewa traffic lights (taa) na kuwekwa rotary.
Huku Salasala magari hakuna since November. Mkandarasi wetu amenieleza kwamba kuna mvutano wa kiutendaji kati ya makandarasi wazoa taka na ofisi ya Mkurugenzi. Mkandarasi anadai Mkurugenzi analazimisha malipo ya taka kutoka kwa wakaazi yasilipwe kwa mzoa taka bali yalipwe kwa ofisi ya Mkurugenzi...
Shirika la ndege la FastJet linahujumu sisi wasafiri hasa kipindi hiki cha sikukuku. Shirika limefuta safari zake zote na kuwataka abiria wenye ticket kuwasiliana na ofisi zao ili warejeshewe pesa zao.
Ajabu namba za simu pamoja na e-mail hazifanyi kazi. Abiria tumebaki hatujui hatima ya pesa...
Online booking ipo...lkn nahisi Mh. Waziri ana hoja hapo. Wiki 3 zilizopita nilijaribu kufanya booking ya Dar-Mza-Dar kati ya 20-23 Dec na ndege zote za ATC zimejaa. Hivyo kuna haja ya hao watendaji ndani ya shirika wajitathmini upya
Habari za leo wadau. Nauza shamba langu Fukayosi, Bagamoyo. Shamba lina hati na liko umbali wa takribani 2km kutoka barabara ya Lami ielekeayo Msata. Bei maelewano
Tumia uber...ukiona ghali ni vyema unywee nyumbani tu. Drinking and driving is dangerous sio tu kwa usalama wako bali hata kwa wenzio wanaotumia barabara.
Inahitaji moyo sana kuwa mwajiriwa ktk kipindi hiki... Ushauri wa wazi kwa wafanyakazi ni kuandaa mazingira bora ya kustaafu pasipo kutegemea mafao uliyowekeza ktk mifuko ya hifadhi. Tofauti na hapo ni kuumizana vichwa manake watawala wameshaamua. Hakuna namna
Hivyo wanasubiri mpk mtu alalamike as if hawaoni ‘fake news’ na propaganda from that paper [emoji15]. Wakati mwingine ni busara kwa viongozi wetu madaktari wakae kimya tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.